mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Waambie wajue double standard iliopo duniani ,Mbona wazungu hawa hawa wamempa kesi kibao bwana assange wa wikileaks? Kuanzia sweden, UK hadi US wenyewe
Vipi kuhusu snowden?
Kashoggi je,, si alichinjwa..tena ubalozini kabisa. Pamoja na kuwa na us citizenship.