Yep,ni muhimu sana masharti yawe rahisi ili kutengeneza kazi nyingi iwezekanavyo, nafikiri basic training kama ya kupata driving licence inaweza kusaidia na kupata vijana wengi na kuzuia utapeli kwenye sektaNdio, ila yasiwe masharti magumu sana, wanaweza kupewa nafasi kupata ofisi, kujipanga, kujiendeleza miaka miwili. Sera zetu zote ziwe endelevu.