johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,922
- 141,888
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya
Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.
Chanzo: ITV habari
Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.
Chanzo: ITV habari