Serikali: Madalali kupewa vitambulisho maalumu kwa Ada ya tsh 20,000. Dalali atalipwa na mwenye nyumba tu siyo Mpangaji

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,922
141,888
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya

Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.

Chanzo: ITV habari
 
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya

Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.

Source: ITV


Madalali kupewa vitambulisho maal​

Madalali kupewa vitambulisho maalumu na watalipa Tsh 20,000 .?Je mwenye Nyumba ataruhusiwa kulipia Ada na kuwa dalali kwa ajili ya Nyumba yake?​

 
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya

Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.

Source: ITV habari

Habari nzuri sana. Huyu Lukuvi ni jembe.
 
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya

Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.

Source: ITV habari
Mwenyenyumba anamlipa Dalali pesa kutoka wapi ni yaleyale tena gharama zitaongezeka zaidi
 
Ni jambo jema kabisa.Lakini bila kuwa na sheria, dalali au mwenye nyumba ataepuuza agizo au amri hii atashiughulikiwa vipi?

Haya ndio yale ya kutanguliza mkokoteni mbele kisha ng'ombe/punda ndio atafuata.
images (47).jpeg
 
Waziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya

Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.

Source: ITV habari
Easier said than done
 
Back
Top Bottom