Ila kwanini asitokee mtu akatengeneza APP Tanzania nzima wenye nyumba wakawa wanaweka detail zao wanakatwa percent kidogo na watu wakawa waningia humo kutafuta nyumba mbona uber na bolt zimesaidia au nakosea wakuu... Sijui
Good idea mkuuIla kwanini asitokee mtu akatengeneza APP Tanzania nzima wenye nyumba wakawa wanaweka detail zao wanakatwa percent kidogo na watu wakawa waningia humo kutafuta nyumba mbona uber na bolt zimesaidia au nakosea wakuu... Sijui
100k mkuu
Matundu ya choo tuu ya watoto wenu yanawashinda ndio mnataka mjengewe nyumba? hamsaidiki
Utaitengeza mwisho wasiku utabaki nayo mswahili ni mgumu sana kubadilika Watu wanaishi kwa Mazoe wanapenda mifumo umizaNilishawahi kuandikaga hii idea humu! Its very possible na itasaidia si tu kwa ku eliminate madalali wanyonyaji bali itapunguza usumbufu wa hali ya juu wa utaftaji nyumba hasa ikiwa on-hand app tu kwenye simu!
Unaangalia nyumba ambako ziko available kwa kanda unayotaka kwenda aidha kinondoni ama Ilala ama Temeke. Unachagua price range na nyumba pia ziwe ranked kwa stars. Kuanzia 5 stars mpaka 1 star house kulingana na ubora!
Ikuletee exactly nyumba unayohitaji kwa price range na ubora!
Dalali atalipwa na mwenye shida nae...mimi mwenye nyumba sihitaji dalali, sasa kama wewe unaweza kutoka 'kawe' mpaka 'tabata' na kutafuta chumba bila dalali na ukapata..kazi kwako
Nipo mbeya mkuuUkute ni hiz za Masaki ($2,000). Ni wizi wa hali ya juu.
Yep ni changamoto, lakini kwa kuanzia simple app ya kuunganisha kwa simu au email kati ya wenye nyumba,madalali na wateja inaweza kusaidia na kubadilisha mawazo ya watu na kuanza kutumia technology kwenye mambo ya nyumbaUtaitengeza mwisho wasiku utabaki nayo mswahili ni mgumu sana kubadilika Watu wanaishi kwa Mazoe wanapenda mifumo umiza
gharama za kutengeza App ku update hosting matangazo kodi ni kubwa sana sio kwa bongo
Bila sheria atakuja. Mpuuzi mwingine na tamko lake watu tukatafutanaNi jambo jema kabisa.Lakini bila kuwa na sheria, dalali au mwenye nyumba ataepuuza agizo au amri hii atashiughulikiwa vipi?
Haya ndio yale ya kutanguliza mkokoteni mbele kisha ng'ombe/punda ndio anafuata.
Hii sekta ilikua imesahaulika walivyoshtuka wanaimpose vitu heavy, naishauri serikali iwe na balance kwa wadau wote wanaohusika, mmoja asi feel anaumizwa na system
Hii itasaidia maana wanachangia sana kupanda bei ya vyumba mjini nyumba yenye hadhi ya 50000 utaambiwa 150000 ili apate pakubwaWaziri Lukuvi amesema kuanzia sasa Madalali wa nyumba na viwanja watapewa vitambulisho maalumu kwa ada ya tsh 20,000 kila mwaka na watasajiliwa na halmashauri za wilaya
Lukuvi amesema dalali atalipwa na mwenye nyumba tu na siyo mpangaji kama inavyofanyika sasa ambapo mwenye nyumba na mpangaji huwalipa madalali.
Source: ITV habari
Attributes zinakuwaje nyingi kama utazi class?Unalinganisha nyumba ya kuishi mtu na familia yake na Taxi ya Uber/bolt ambayo unapanda na kushuka muda mfupi baada ya kufika unakoenda? Nyumba ya kuishi mtu na mkewe na watoto wanaosoma chekechea, msingi na sekondari ina attributes nyingi zaidi. Fanya utafiti kwanza kabla hujaandika
Hivi kweli tunalitakia mema taifa? unawezaje kuhalalisha uhuni kama huu kwenye taifa letu? udalali ni uhuni na kamwe haupaswi kuungwa mkono, walipane na mpangaji maana ndiyo wametafutana ila mwenye nyumba hapana.
Nipo mbeya mkuu
Na wapewe training hata ya week moja na kuwa certified kabla ya kuruhusiwa kufanya hizo kazi,wajue sheria za udalali, haki yao ,ya mwenye nyumba na ya mteja , uswahili na utapeli utapunguaMadalali wapewe nafasi hata kama hawajasoma, ni sekta muhimu Watanzania, maskini wengi.
Ulaya unampigia simu mwenye nyumba unalipa deposit labda ya mwezi mmoja. Dalali unampa ikizidi sana alisimia moja ya kodi ya 6, 1 year. Dili.
Madalali wote wawekwe kwenye mfumo rasmi walipe kodi rafiki. Sio za kuwaumiza.
Ndio taifa litavyoweza kujitegemee kila mtu mwenye uwezo alipe kwa uwezo wake.
Tusitegemee misaada kwa bajeti yetu.
Na wapewe training hata ya week moja na kuwa certified kabla ya kuruhusiwa kufanya hizo kazi,wajue sheria za udalali, haki yao ,ya mwenye nyumba na ya mteja , uswahili na utapeli utapungua
kwani madalali ni wa nyumba na vyumba tu?