Serikali: Madalali kupewa vitambulisho maalumu kwa Ada ya tsh 20,000. Dalali atalipwa na mwenye nyumba tu siyo Mpangaji

Biashara ni kitu huria

Serikali imekosea kuingilia kati. Kwani dalali akipata pesa kila upande akalipwa na mpangaji na mwenye nyumba serikali inawasumbua nini? Roho mbaya tu serikali inafanya

Biashara tunaposema huria inatakiwa kuwa huria kweli


Wizara kujiugeuza tume ya bei kupanga dalali alipwaje sio sahihi
Kazi ya wizara ya Ardhi sio kuwa tume ya bei
 
Dalali atanwambia mpangaji gharama za nyuma pamoja na pesa yake ya udalali mwenyenyumba atapokea pesa kutoka kwa mpangaji pamoja gharama za udalali kisha atatoa pesa ya Dalali kwenye hesabu tofauti ya kabla na mwanzo ikowapi?
Mkuu unadhani suluhisho ni nini sasa?
Gharama za upangishaji zinafahamika kulingana na miundombinu iliyopo ya nyumba. Mwenye nyumba ongeza bei, Ukose mpangaji. Nyumba yenye hadhi ya 100,000/= alafu ukitaka ulipwe 250,000/= eti kwa kuwa umeweka gharama za udalali, haitapata mtu wa kupanga.
 
Hapo wenye nyumba watatafuta wapangaji wenyewe .
Dalali atakufa na njaa

Binafsi nadhani hivi ndivyo inatakiwa kuwa. Hiyo ni biashara yao na biashara ni matangazo! Kuna namna nyingi sana katika zama hizi za utandawazi kuweka biashara yako ikaonekana kwa watu wengi..... Wakakutafuta wewe mwenyewe mkafanya hiyo biashara bila hata ya uhitaji wa mtu wa kati (Huyo Dalali)
 
Bure syndrome at work.

Unataka kila kitu ufanyiwe na serikali! Sekta binafsi ndio jukumu lake , wewe tafuta pesa kwa kufanya shughuli halali kisha based on your income, unapanga nyumba , au unajenga yako nwenyewe. Sio kazi ya serikali kuwapatia makazi watu.
Madalali mna hasira sana!
 
Binafsi nadhani hivi ndivyo inatakiwa kuwa. Hiyo ni biashara yao na biashara ni matangazo! Kuna namna nyingi sana katika zama hizi za utandawazi kuweka biashara yako ikaonekana kwa watu wengi..... Wakakutafuta wewe mwenyewe mkafanya hiyo biashara bila hata ya uhitaji wa mtu wa kati (Huyo Dalali)
Kama hutopenda kumlipa dalali ujira wake basi tafuta mpangaji wewe mwenyewe mwenye nyumba, njia zipo nyingi za kutangaza, kama hupendi usumbufu mpe kazi dalali , Simple as that !!
 

Madalali kupewa vitambulisho maalumu na watalipa Tsh 20,000 .?Je mwenye Nyumba ataruhusiwa kulipia Ada na kuwa dalali kwa ajili ya Nyumba yake?​

Kama umeamua biashara yako ni kupangisha nyumba ni bora wewe mwenyewe ndio uwe dalali,wenye nyumba acheni mara moja huu utaratibu wa kutumia watu wengine kuwapangishia
 

Madalali kupewa vitambulisho maalumu na watalipa Tsh 20,000 .?Je mwenye Nyumba ataruhusiwa kulipia Ada na kuwa dalali kwa ajili ya Nyumba yake?​

Na je kwenye hili"definition" ya dalali imefikiwa?dalali si hulipwa na aliyemwajiri ?.mwenye nyumba akihitaji dalali bila shaka atalipa yeye(landlord).mpangaji akihitaji nyumba kwa vyovyote atamlipa dalali,benki akihitaji dalali watalipa wao.wale masokoni,vituo vya mabasi ,.mashambani,bandarini ,ukutaratibu wao utakujwa je?,Kila shughuli nchi hii Ina dalali
 
Ni jambo jema kabisa.Lakini bila kuwa na sheria, dalali au mwenye nyumba ataepuuza agizo au amri hii atashiughulikiwa vipi?

Haya ndio yale ya kutanguliza mkokoteni mbele kisha ng'ombe/punda ndio anafuata.
Kwani wao wanafanya udalali kwa sheria ipi?
 
Na je kwenye hili"definition" ya dalali imefikiwa?dalali si hulipwa na aliyemwajiri ?.mwenye nyumba akihitaji dalali bila shaka atalipa yeye(landlord).mpangaji akihitaji nyumba kwa vyovyote atamlipa dalali,benki akihitaji dalali watalipa wao.wale masokoni,vituo vya mabasi ,.mashambani,bandarini ,ukutaratibu wao utakujwa je?,Kila shughuli nchi hii Ina dalali

Mkuu Kiwowoti, Dalali hawezi kuwepo kamą mwenye nyumba hatamwambia kawa anahitaji kupangisha nyumba yake. Kwa hiyo mpangaji asingeweza kuanza kuhangaika na dalali. Kwa kuwa dalali anataarifa ya sehemu nyumba inapangishwa... Virtually mwenye nyumba ndiye kampa hiyo kazi. Huyo mwenye nyumba angeweza kufikisha taarifa kwa potential clients wake kwa niia nyingi tofauti. Yeye kaamua kuchagua hiyo ya dalali. ALIPE yeye!
 
Attributes zinakuwaje nyingi kama utazi class?

-Size (single room, single-self room, self room+ Lounge,self room +lounge+ Kitchen, self room+extra room+lounge+kitchen)

-Amenities(Alluminium profile, Parking, Electricity,Water,Fence, Perving,None)

-Price range (30K, 50K, 80K, 100K,130K,150K,180K,200K,250K, 300K, 350K n.k)

-Region(Kinondoni, Ilala,Temeke)

-Residence (Tabata, Segerea,Magomeni,Masaki,Mbezi Beach,Kawe,Sinza,Kimara,Goba, Salasala,Mbweni,Bunju,Mwananyala, Makumbusho,Tandale,Mbagala,Tandika, Mtongani,Kijichi)

Duration: (1 months, 3 months, 6 months, 12 months)

Hapo bado tu hujapata picha tu?

Uki press button ya search inakuletea nyumba ambazo ziko “Available” hizi ambazo unaweza kulipia kwa list toka kwenye eneo ulilochagua.

“Taken” ambazo zimeshalipiwa.

“Pending/Due” ambazo wenyewe wameshatoa taarifa kwamba wanaplan kuachia one month ahead!

How it works, wenye nyumba watakuwa na section yao kwenye huu mfumo. Wata feed hizo taarifa na picha clear za nyumba zao na wataweka na contacts zao.

Revenue model:
Subscription, mwenye nyumba atalazimika ku subscribe kwenye mfumo kila mwaka subscription fees kwa mwanzo itakuwa free ila wakizoea tutaweka tozo.

Adverts:
Mwenye nyumba atachangia 3% toka katika pesa ya kila nyumba ambayo atapangisha kupitia mfumo huu. Hii inakuwa sasa ndio gharama za udalali ambazo atatulipa wenye kampuni yetu na app.
Mkuu jamaa hawezi kukuelewa ni wa kizazi cha giza
 
Attributes zinakuwaje nyingi kama utazi class?

-Size (single room, single-self room, self room+ Lounge,self room +lounge+ Kitchen, self room+extra room+lounge+kitchen)

-Amenities(Alluminium profile, Parking, Electricity,Water,Fence, Perving,None)

-Price range (30K, 50K, 80K, 100K,130K,150K,180K,200K,250K, 300K, 350K n.k)

-Region(Kinondoni, Ilala,Temeke)

-Residence (Tabata, Segerea,Magomeni,Masaki,Mbezi Beach,Kawe,Sinza,Kimara,Goba, Salasala,Mbweni,Bunju,Mwananyala, Makumbusho,Tandale,Mbagala,Tandika, Mtongani,Kijichi)

Duration: (1 months, 3 months, 6 months, 12 months)

Hapo bado tu hujapata picha tu?

Uki press button ya search inakuletea nyumba ambazo ziko “Available” hizi ambazo unaweza kulipia kwa list toka kwenye eneo ulilochagua.

“Taken” ambazo zimeshalipiwa.

“Pending/Due” ambazo wenyewe wameshatoa taarifa kwamba wanaplan kuachia one month ahead!

How it works, wenye nyumba watakuwa na section yao kwenye huu mfumo. Wata feed hizo taarifa na picha clear za nyumba zao na wataweka na contacts zao.

Revenue model:
Subscription, mwenye nyumba atalazimika ku subscribe kwenye mfumo kila mwaka subscription fees kwa mwanzo itakuwa free ila wakizoea tutaweka tozo.

Adverts:
Mwenye nyumba atachangia 3% toka katika pesa ya kila nyumba ambayo atapangisha kupitia mfumo huu. Hii inakuwa sasa ndio gharama za udalali ambazo atatulipa wenye kampuni yetu na app.
Big idea, kila siku nalifikiria hili swala ni sijapata wasaa tu wa kulifanyia kazi...
 
Back
Top Bottom