dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Kwani ni kuijua CCM au uhalali wa process nzima na rasimu yenyewe, Jaji warioba ana amini rasimu aliyoiandika yeye ndio ilitakiwa kuwa katiba sasa sijui bunge la katiba lilikuwa na shughuli gani.
Hapana wacheni kudanganya watu hamaanishi hivyo Mlichokosea nyinyi watu nikuja na MAONI MAPYA kilichotakiwa pale ni kuboresha sio KUFUTA msingi wa RASIMU hucka,,,, Hebu nikuulize ndugu hivi huu Muungano wetu ni Sampuli ya wapi,,,!