Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Me cna uushabiki na political part yeyote,Likini unachotuaminisha hapa inaonesha wewe huelewi kitu ama unajitoa ufaham wako. We huelewi hata sheria za nchi nchi zinasemaje na maana ya dialogue huijui.
Same as me sina chama ni mpenda amani na muheshimu wa wa demokrasia tu. Naweza kuwa sielewi kwa kina maana ya dialogue lakini kukataa kukaa chini na kujadili na wengine sio definition kabisa. Kama ndugu zetu wa UKAWA walivyofanya kipindi katiba inatungwa.

Asubuhi njema me out. Kumbuka muda wa kutoa maoni ya katiba umeisha zamani sana.
 
Hiyo mijadala siyo kwa ajili ya kutoa maoni ni kwa ajili ya kuelimishwa ili wananchi wafanye informed decisions. Kamwe in life lazima uelimishwe kwanza ndio ufanye maamuzi.
Sijabishia kutoa elimu lakini wasitunge uongo na upotoshaji hiyo inakuwa sio elimu bali misleading.
 
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.

Ulie lala nae leo usiku usirudie kulala nae tena...
 
Sijabishia kutoa elimu lakini wasitunge uongo na upotoshaji hiyo inakuwa sio elimu bali misleading.

Uongo na upotoshaji kwako wewe ni ukweli kwa mtu mwingine. Mimi jana sijasikia uongo wowote aliousema warioba. Kwani tunu za taifa na miiko ya uongozi haijachakachuliwa? Ni kweli kubali tu.
 
Ebu tuwekee hizo data bila ya kusahau kujadili impact kwa wananchi walio wengi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Embu fuatilia impact za kilimo kwanza uone ni jinsi gani wakulima wadogo walivyo nufaika awalili chakula tena sasa wanauliza masoko vijana wajisiriamali ndio wanatengenezwa sio kazi rahisi lakini tutafika na safari imeanza.
 
Uongo na upotoshaji kwako wewe ni ukweli kwa mtu mwingine. Mimi jana sijasikia uongo wowote aliousema warioba. Kwani tunu za taifa na miiko ya uongozi haijachakachuliwa? Ni kweli kubali tu.
Zinaweza tengenezewa sheria zake za code of conducts ndio nchi nyingi zinavyofanya na isitoshe some of the recommendations were undemocratic.

Asubuhi njema, me out.
 
We pusi kwelikweli.Ni mara ngapi Kikwete amenukuliwa akiwataka wananchi kuja kupiga kura ya ndio?
Au huyo naye ni UKAWA?
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.

Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.
 
Zinaweza tengenezewa sheria zake za code of conducts ndio nchi nyingi zinavyofanya na isitoshe some of the recommendations were undemocratic.

Asubuhi njema, me out.

Goodmorning. Kwa maoni yangu unaargue kama mtoto au mtu asiye na elimu, kama wanaCCM wengi nliokutana nao. And i mean no offence to you. Eti data zinaonyesha uchumi unakua. Je level ya umaskini na inequality? I dont believe kuna mtu na akili zake timamu anaweza kusema tumepata katiba bora. Katiba sio kitu cha kupitishwa na walio wengi tu! Mimi napinga serikali tatu lakini nakubali hoja ya uwajibikaji wa serikali (responsible leaders). Bila utawala bora ukombozi wa kiuchumi utabaki kuwa ndoto hata mtaje na kina mama lishe kwenye katiba. Na ndicho warioba alichokisisitiza jana.
Kwa heri.
 
Polisi yetu hapa nchini inashindwa hata kuzuia vibaka katika eneo la posta mpya (mjini kabisa) lakini kwenye siasa wako mstali wa mbele kutoa matamko na vitisho......silaha na kila kitu....nawahurumia wanapaswa kujitambua
 
Another bogus si ndio maana ya kuinada au we ushazoea kununua mbuzi wa kwenye magunia sito shangaa kama umeichangia CDM jana.

Kinachozuia na wewe kuwaelimisha wananchi kuhusu katiba mpya nini ili wajue haki zao zimekuwa deprived kivipi. Lakini habari za kusema wananchi walitaka ABC sijui CCM wamefanya hivi na vile ni upotoshaji na uchonganishi kazi ya tume imeisha mjadala sasa ni katiba iliyopo kama wengine awakutaka kushiriki kwa utashi wao kwanini waongope?

wewe shoga kwanini na nyie ccm msiandae mdahalo wenu ili mseme mzuri ya katiba yenu!
 
141102225115_warioba_vurugu_304x171_bbc_nocredit.jpg
 
Utakuwa ni Ujinga wa Hali ya Juu ila Kama washauri wenyewe ndo kina Wasira na Lukuvi very possible
 
Ikipata baraka za kura ya maoni ndio katiba yenyewe anyway does it matter, kwani kuna anaekataa kutoa elimu kuhusu hiyo rasimu ya katiba iliyopo. Tatizo ni longo longo za kutaka kurudisha hadithi za kutoa maoni na kuzungumzia maoni kishabiki na kwa upendeleo as if the whole thing is not legit or the process was undemocratic huo ni upotoshaji kabisa.

kwani wewe hujui kuwa kuna kura ya ndiyo na hapana na kunapotolewa elimu ni lazima wale wa hapana waseme mabaya ya ndiyi
 
Chanzo cha vurugu itakuwa kama wananchi wataendelea kupotoshwa lakini kama watapewa elimu ya katiba inayopendekewa wapiga kura kwa utashi wao fujo azitotokea. Sumu za wengine ndio threat ya fujo.
we boya kwani unataka waelimishe vipi bila kutaja mapungufu na mazuri ya hiyo katiba
 
Kwa hiyo ccm kupitia serikali yake, wamefanya fujo kwenye mdahalo wa amani ili wajenge hoja ya kufuta midahalo ya kujadili katiba.

Midahalo inayofutwa ni ya ITV kwa ajili ya usalama. Usalama unaimarishwa kwa kufuta majadiliano?

Vipi kuhusu mikutano ya ccm na mahojiano yanayoendeshwa kupitia Star TV, ITV, ya akina kikwete na wengine wanaoshawishi wananchi wapige kura na ndiyo kwenye katiba ? Bila shaka hii haina tatizo la kiusalama kwa kuwa inaendeshwa na wavuruga usalama wenyewe.

Na ni kwa ajili ya nini wanazuia watu wasijadili katiba ila wanalazimisha tu ipigiwe kura ya ndio? Hapa ni naona ni utunzaji na matumizi ya wazi ya mtaji wa ccm ambao ni ujinga wa watanzania. Ccm haitaki watanzania wapate elimu ya katiba, wabaki katika ujinga, halafu kwa ujinga huo huo, wawe manipulated kupiga kura ya ndio ili kuhalalisha uzandiki, ufisadi na ugaidi wa ccm.

Sasa wananchi wanaambiwa katiba ni yakwao kwa maana ya utengenezwaji wakati imetengenezwa na mafisadi.

Halau wanatakiwa wapige kura ya kuikubali na watakao ikataa kukiona;

Tatu ni marufuku kujadiliana na kuielewa katiba lakini ni lazima waikubali na kuitii vyovyote ilivyo;


Tutakufa ndiyo lakini watoto wetu wataishi kwa uhuru ndani ya nchi yao. Hakuna thamani ya maisha tena hapa Tanzania. Nisipokufa katika kutetea familia na uzao wangu kwenye katiba na haki zao za kiraia, nitakufa kwa kukosa huduma za afya, nitauawa na jambazi, nitakufa kwa ajali ambazo zinaongezeka kila siku ingawa ccm inadanganya watu zimepungua,. Nadhani nitakuwa shujaa nikuawa na ccm kwa kuwa ninatetea ustawi wa watoto na vizazi vyangu.



Kwa hali ilivyo sasa, misimamo ya serikali ya ccm kutokutofautisha chama na seriakli, namna wanavyotaka kutubana kwenye kona ili turidhie walipotuikisha na wanakotupeleka, sasa lazima kisanuke!.

Waratibu wa mipango, pangeni mtushirikishe, tuko tayari kutetea Utaifa wetu!.



Serikali inajipanga kuzuia midahalo yote na hasa inayorushwa kwenye TV kwa kile wanachokiita "sababu za kiusalama"

Kama vile ambavyo mara nyingi vyama pinzani wamekuwa wakizuiwa kufanya mikutano kwasababu za "kiusalama" ndivyo hivyo midahalo hiyo itakavyozuiliwa.

Kwahiyo wanajamii tujiandae kupokea barua hiyo muda wowote ule itakayozuia midahalo "KWASABABU ZA KIUSALAMA"

Wageni wote karibuni Tanzania.
 
hao wananchi unaowasema ndio wenye maamuzi ya mwisho ndio wanaofanya hiyo midahalo
 
Kuzuia vurugu ni rahisi ukiwa wanaozianzisha basi. Tumeshawajua walioanzisha vurugu ni UVICCM na hawa hawatakiwi kuonekana kwenye midahalo na hivyo vurugu hazitakuwepo!!!!!.
 
Back
Top Bottom