Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Tutauwana, we ngoja wafanye upuuzi wao, washazoea kung'oa with kucha, kuua maprofesa na watu wengine waliokinyume na serikali. Ccm tuachieni nchi yetu wauaji nyie.
 
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.
kweli imbecile ni imbecile tu

ile sio katiba, bali ni rasimu ya katiba...

Pili kabla ya kura huwa ni lazima jamii ielimishwe inapigia kura kitu gani ndio maana kuna campaign, public education and the like

Jipambanue ukue otherwise utaishia kutumika cheaply

Issue ya haki ya wengine kusema siwezi kuiingilia, lakini sio kila kisemwacho ni sheria
 
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.

Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.

Ndugu yangu unafikiri kwa kutumia kiungo gani,,,!! Wewe na JAJI, WARIOBA nani anaijua CCM vzr acheni uPUMBAVU haki yakuzuia watu kuongea mnaitoa wapi,,,,!
 
Another bogus si ndio maana ya kuinada au we ushazoea kununua mbuzi wa kwenye magunia sito shangaa kama umeichangia CDM jana.

Kinachozuia na wewe kuwaelimisha wananchi kuhusu katiba mpya nini ili wajue haki zao zimekuwa deprived kivipi. Lakini habari za kusema wananchi walitaka ABC sijui CCM wamefanya hivi na vile ni upotoshaji na uchonganishi kazi ya tume imeisha mjadala sasa ni katiba iliyopo kama wengine awakutaka kushiriki kwa utashi wao kwanini waongope?
Upotoshaji uko wapi? Elimu ni kuelimishwa kile kilichomo kwenye katiba pendekezwa pamoja ni kile kilichoboreshwa,kilichotolewa. na vyote vilivyomo.Sasa we unachagua vya kuwafundisha?
 
kweli imbecile ni imbecile tu

ile sio katiba, bali ni rasimu ya katiba...

Pili kabla ya kura huwa ni lazima jamii ielimishwe inapigia kura kitu gani ndio maana kuna campaign, public education and the like

Jipambanue ukue otherwise utaishia kutumika cheaply

Issue ya haki ya wengine kusema siwezi kuiingilia, lakini sio kila kisemwacho ni sheria
Ikipata baraka za kura ya maoni ndio katiba yenyewe anyway does it matter, kwani kuna anaekataa kutoa elimu kuhusu hiyo rasimu ya katiba iliyopo. Tatizo ni longo longo za kutaka kurudisha hadithi za kutoa maoni na kuzungumzia maoni kishabiki na kwa upendeleo as if the whole thing is not legit or the process was undemocratic huo ni upotoshaji kabisa.
 
Another bogus si ndio maana ya kuinada au we ushazoea kununua mbuzi wa kwenye magunia sito shangaa kama umeichangia CDM jana.

Kinachozuia na wewe kuwaelimisha wananchi kuhusu katiba mpya nini ili wajue haki zao zimekuwa deprived kivipi. Lakini habari za kusema wananchi walitaka ABC sijui CCM wamefanya hivi na vile ni upotoshaji na uchonganishi kazi ya tume imeisha mjadala sasa ni katiba iliyopo kama wengine awakutaka kushiriki kwa utashi wao kwanini waongope?

Kwa akili km hizi ndio maana NCH hii imekwama kwa 50yrs
 
Ndugu yangu unafikiri kwa kutumia kiungo gani,,,!! Wewe na JAJI, WARIOBA nani anaijua CCM vzr acheni uPUMBAVU haki yakuzuia watu kuongea mnaitoa wapi,,,,!
Kwani ni kuijua CCM au uhalali wa process nzima na rasimu yenyewe, Jaji warioba ana amini rasimu aliyoiandika yeye ndio ilitakiwa kuwa katiba sasa sijui bunge la katiba lilikuwa na shughuli gani.
 
Upotoshaji uko wapi? Elimu ni kuelimishwa kile kilichomo kwenye katiba pendekezwa pamoja ni kile kilichoboreshwa,kilichotolewa. na vyote vilivyomo.Sasa we unachagua vya kuwafundisha?
Kilichotolewa kimetolewa kisheria kwa jinsi sheria ilivyoipa mamlaka bunge la katiba sasa unawafundisha nini wananchi kama si uongo hao UKAWA waliombwa mpaka na watu wa mungu warudi wakakataa sasa tena leo rasimu imekuwa ya CCM.
 
Kumbe nawe wajua kuyakata mauno? Au hata humu Jf kuna bwanako?
Utawajua tu wasio rizki watu wanaongelea uhalali wa katiba au kusitishwa kwa mijadala ya katiba we unafikiria mauno na mabwana tena alfajiri; kaazi kweli kweli.
 
[Hawa mabwege CCM wamezuia kipindi cha tuzungumze magazeti RFA.
 
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.

Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.
hivi unafahamu mchakato wa kura za maoni jinsi ulivyo? Au unajua kubwabwaja tu? Je kama kuna vurugu je njia ni kuzuia mijadala au kupambana na wafanya vurugu?
 
Wewe ndio unajua kila kitu; hivi kwanini tena rasimu aifai? Ooh yeah kwa sababu Mbowe kasema si ndio au?

Me cna uushabiki na political part yeyote,Likini unachotuaminisha hapa inaonesha wewe huelewi kitu ama unajitoa ufaham wako. We huelewi hata sheria za nchi nchi zinasemaje na maana ya dialogue huijui.
 
tukipigana mnasingizia watu wa magharibi kumbe ni ujinga wetu wenyewe
 
Tatizo la serikali hii ni kukwepa wajibu wake wa kikatiba! Hivi kama kuna wafanya vurugu kwenye midahalo na mikutano, dawa ni kuzuia mikutano hiyo ama kupambana na wafanya vurugu na kuwadhibiti? Je ikitokea rais ana mkutano na wazee wa dar kwa mfano, na kukawa na watu wachache wenye kutaka kufanya vurugu kwenye mkutano huo, je dawa ni kuimarisha ulinzi au kuzuia mkutano huo? Kwa kweli polis wa tanzania kuna mambo mengi wanatia aibu kabisa!
 
hivi unafahamu mchakato wa kura za maoni jinsi ulivyo? Au unajua kubwabwaja tu? Je kama kuna vurugu je njia ni kuzuia mijadala au kupambana na wafanya vurugu?
Chanzo cha vurugu itakuwa kama wananchi wataendelea kupotoshwa lakini kama watapewa elimu ya katiba inayopendekewa wapiga kura kwa utashi wao fujo azitotokea. Sumu za wengine ndio threat ya fujo.
 
Utawajua tu wasio rizki watu wanaongelea uhalali wa katiba au kusitishwa kwa mijadala ya katiba we unafikiria mauno na mabwana tena alfajiri; kaazi kweli kweli.

Unakata mauno tu ndiyo maana hata hujui unachokiongea. Unasema mijadala ya kuijadili Katiba katiba ilitakiwa kufungwa wakati huo huo Kinana na Nape kwenye mikutano yao wanawaambia Wananchi waipigie kura ya ndiyo.
 
Let me guess CCM iliwafungia milango wajumbe wa UKAWA wasishiriki si UKAWA wenyewe wamekubali akili ndogo iongoze akili kubwa na kuchukua maamuzi ya kipuuzi kususia bunge sasa wanalia nini.

Wawache wananchi waamue kama katiba mpya aiwafai; lakini habari za tume ya rasimu ilishakwisha loongi na muda wa kutoa maoni pia.
Hiyo mijadala siyo kwa ajili ya kutoa maoni ni kwa ajili ya kuelimishwa ili wananchi wafanye informed decisions. Kamwe in life lazima uelimishwe kwanza ndio ufanye maamuzi.
 
Back
Top Bottom