M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
kazipige na mama yako kwanza ndiyo uje kwa wengine.
binti, nitaanza na wa kwako
kazipige na mama yako kwanza ndiyo uje kwa wengine.
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.
Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.
Let me guess CCM iliwafungia milango wajumbe wa UKAWA wasishiriki si UKAWA wenyewe wamekubali akili ndogo iongoze akili kubwa na kuchukua maamuzi ya kipuuzi kususia bunge sasa wanalia nini.
Wawache wananchi waamue kama katiba mpya aiwafai; lakini habari za tume ya rasimu ilishakwisha loongi na muda wa kutoa maoni pia.
Ikipata baraka za kura ya maoni ndio katiba yenyewe anyway does it matter, kwani kuna anaekataa kutoa elimu kuhusu hiyo rasimu ya katiba iliyopo. Tatizo ni longo longo za kutaka kurudisha hadithi za kutoa maoni na kuzungumzia maoni kishabiki na kwa upendeleo as if the whole thing is not legit or the process was undemocratic huo ni upotoshaji kabisa.
Ila we dada kama hukutumwa basi una tatizo katika ufahamu wako. Tofautisha kati ya kampeni na mijadala ya kuisoma rasimu ya katiba. Lengo ni kutaka ufahamu wa katiba. Besides mliona njia sahihi ni kuleta fujo ktk mdahalo. Kama lipo nje ya sheria ya uundwaji wa katiba mbona haikutumika njia stahiki kuzuia. Au tujue kuwa nyie ni wahuni kiasi hicho?. Kwanza umefuatilia mchakato tangu mwanzo au umepata bwana interahamwe juzijuzi ndo kakukremisha. Maana hata UKAWA huielewi unaongea tu. Anyway tunaweza kuwa tunabishana na mtu kumbe sio mtu. Wengi sasa hivi wameshageuzwa kuwa wanyama na viongozi mapepo wa sisiem. Labda na wewe.
sidhani kama kuna mtu ana expect elimu ya katiba itatolewa bila ya katiba husika tatizo ni uongo wa hadithi za vitu vilivyotolewa kwa sababu ya msingi kutumiwa kuwaongepea watu kuwa imechakachuliwa as if rasimu ya tume ndio ilikuwa katiba.Hii sio mijadala kama unavyodhani wewe. Ama kama wanavyojitoa ufahamu ndugu zako. Ni kwamba tunaisoma hiyo rasimu pendekezwa ili tuwe na ufahamu wa kutusaidia kufanya maamuzi sahihi wakati wa kupigakura ya maoni. Kuna ubaya gani kubadilishana mawazo kupitia midahalo. Tatizo mtu akishaiingia dhambi ni ngumu sana kutoka hivyo mpaka waue mtu ndo mioyo yao itatulia wakiona damu. Mazombi bwana.