mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF baada ya walimu kugoma na kutotii Amri ya Serikali, sasa Serikali inajiandaa kutangaza nafasi za Maafisa watakaohesabu watu (sensa) badala ya kuwatumia Waalimu sasa kuwatumia wana vyuo.
Hii imetokana na walimu wengi kupanga hujuma ya kuvuruga sensa wakishinikiza madai yao, mpango unakaribia kukamilika na utatangazwa wakati wowote kuanzia sasa.
Source: Mmoja wa ma afisa wa juu wa takwimu
Hii imetokana na walimu wengi kupanga hujuma ya kuvuruga sensa wakishinikiza madai yao, mpango unakaribia kukamilika na utatangazwa wakati wowote kuanzia sasa.
Source: Mmoja wa ma afisa wa juu wa takwimu