Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
Kwani serikali aliyotaja britanicca ni CCM?
Aisee kama serikali aliyoitaja britanicca ni ya CCM basi mimi anitoe tu kwa kweli
Njoo kwenye chama changu cha upinzanj๐Aisee kama serikali aliyoitaja britanicca ni ya CCM basi mimi anitoe tu kwa kweli
Hongera mheshimiwa naona umekula mucheo.ati mie msaidizi wako
Mhhhhiiiihhh...kumbe wewe ni 'men in black'..
najuaga bonge LA shori,full msambwanda na madikodiko yote inside yapo..
basi nimeingia cha chekechea!
Sorry dawg.
๐ ๐Kama ndo tafsiri yake hata unaibu spika haunifai asee ๐๐๐
Kuna kina Depal SweetieLee au hata troublemaker angekuwa spika ๐๐
Njoo kwenye chama changu cha upinzanj![]()



ah hiyo 'sirikali' yenyewe nina mashaka nayo bhana
Hongera mheshimiwa naona umekula mucheo.
Nitaenda Ruangwa ku practise utamaduni.Ndio umewekwa idara ya utamaduni ๐
๐ ๐ ๐dada angu mbona na wewe uko vizuri sana tu
๐ ๐Kubishana sio shida,shida inakuja kuwekwa kamati moja na wanakijani ๐๐
๐ ๐
Si bora muninyonge.!!