Katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.
Kati ya vitu vya maana serikali ya awamu ya sita imefanya ni hili la veta bola tupate ufundi tujiajiri maana kukaa kusubiri michongo sio kabisa nasikia vitakuepo vyuo vya veta kila wilaya hii ni neema kwa sisi wa mikoani
 
Kati ya vitu vya maana serikali ya awamu ya sita imefanya ni hili la veta bola tupate ufundi tujiajiri maana kukaa kusubiri michongo sio kabisa nasikia vitakuepo vyuo vya veta kila wilaya hii ni neema kwa sisi wa mikoani
Bado wimbi la vijana kutaka kuajiliwa litakuwepo mana kujiajiri mpaka kufikia level za kimataifa bado kunahitaji mtaji mkubwa.
 
..wamejipanga kuhakikisha ubora wa taaluma ktk vyuo vipya vya Veta?

..ni wazo zuri sana kujenga vyuo vya ufundi, lakini nina wasiwasi kwamba msisitizo mkubwa unawekwa ktk IDADI badala ya VIWANGO.
Ujenzi ndio unaanza hayo mengine ni baada ya ujenzi kukamilika..
 
..wamejipanga kuhakikisha ubora wa taaluma ktk vyuo vipya vya Veta?

..ni wazo zuri sana kujenga vyuo vya ufundi, lakini nina wasiwasi kwamba msisitizo mkubwa unawekwa ktk IDADI badala ya VIWANGO.
Sisi ni watu wa idadi siyo viwango. Nchi hii tukiamua kurukia idea.....
 
Ujenzi ndio unaanza hayo mengine ni baada ya ujenzi kukamilika..

..Kweli.

..Lakini tujiandae kupata WAKUFUNZI walionolewa kwelikweli.

..Pia tuhakiki Veta tulizonazo sasa hivi kama zinakidhi VIWANGO vya kitaaluma.

..Hivi tuna vyuo vingapi vya waalimu / wakufunzi wa veta?

..Ujenzi wa Veta ni mzuri, lakini tunaomba serikali iwe makini zaidi na viwango vya taaluma ktk eneo hilo.
 
..wamejipanga kuhakikisha ubora wa taaluma ktk vyuo vipya vya Veta?

..ni wazo zuri sana kujenga vyuo vya ufundi, lakini nina wasiwasi kwamba msisitizo mkubwa unawekwa ktk IDADI badala ya VIWANGO.
Kwa hiyo waache kujenga waboreshe ubora wa taaluma ndipo wajenge sio?
 
Kama kuna Jambo la msingi na lenye mbolea ni hili.
Tupunguze elimu ya kujazana madaftari kichwani.
Mwanafunzi aliyekaa miaka 4 veta ni tofauti na mwana funzi aliyekaa miaka 4 shule ya secondary.
 
..Kweli.

..Lakini tujiandae kupata WAKUFUNZI walionolewa kwelikweli.

..Pia tuhakiki Veta tulizonazo sasa hivi kama zinakidhi VIWANGO vya kitaaluma.

..Hivi tuna vyuo vingapi vya waalimu / wakufunzi wa veta?

..Ujenzi wa Veta ni mzuri, lakini tunaomba serikali iwe makini zaidi na viwango vya taaluma ktk eneo hilo.
Zipo Veta Kongwe zitatoa hao wakufunzi.
 
Kama kuna Jambo la msingi na lenye mbolea ni hili.
Tupunguze elimu ya kujazana madaftari kichwani.
Mwanafunzi aliyekaa miaka 4 veta ni tofauti na mwana funzi aliyekaa miaka 4 shule ya secondary.

..kama masomo marahisi kama hisabati na kiswahili yanatushinda kuyafundisha, je, tutaweza masomo ya ufundi?
 
Katika mwaka wa fedha 2022/23 Serikali ya Rais Samia Suluhu imewekeza Tsh 169bn/- kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) 60 nchi nzima.
Soko la njombe limetumia billion 10, vyuo vya veta 60 billion 169, wastani wa sh 2.81 billion kwa chuo kimoja! Chuo kina mabweni, madarasa na karakana za kufundishia! Sawa serikali ya mama, kazi iendelee.
 
Kama kuna Jambo la msingi na lenye mbolea ni hili.
Tupunguze elimu ya kujazana madaftari kichwani.
Mwanafunzi aliyekaa miaka 4 veta ni tofauti na mwana funzi aliyekaa miaka 4 shule ya secondary.
Kwa mawazo yako veta watakwenda mbadala wa sekondari? Mwanafunzi wa darasa la 7 anao uwezo kupewa mafunzo ya taaluma?
 
Kwa mawazo yako veta watakwenda mbadala wa sekondari? Mwanafunzi wa darasa la 7 anao uwezo kupewa mafunzo ya taaluma?
Kabisa wanaweza.tena ndo watashika vizuri.
Kuna watoto wengine vichwa vyao sio vya kukaa darasani.wape spana,nyundo,n.k huko ndo wanaweza
 
Back
Top Bottom