Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano TCRA, ruhusuni JamiiForums kwasababu kwa miaka mingi imekuwa ikitatua changamoto za Afrika kupitia habari

Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano TCRA, ruhusuni JamiiForums kwasababu kwa miaka mingi imekuwa ikitatua changamoto za Afrika kupitia habari

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,541
Reaction score
916
Maendeleo makubwa hayawezi kuja pasipo kufahamu changamoto zinazozuia mafanikio

JamiiForums kwa miaka mingi imekuwa ikitatua changamoto za Afrika hasa katika maswala yanayoigusa jamii kwa ujumla kupitia habari, jambo lililokuwa likisaidia Serikali kuona changamoto za Wananchi wake na kutatua

Ikiwa kuna changamoto za maudhui basi ni vyema kuikumbusha kanuni za Mawasiliano badala ya kusitisha huduma kwani maudhui yote ni user generated content na ikiwa kuna makosa basi yanakuwa yamesababishwa na baadhi ya watumiaji wasiofahamu Sheria za mitandao ya kijamii na sio mtandao wenyewe kwani JamiiForums inajenga Afrika na sio kubomoa na hii ndiyo dhamira kubwa ya chombo hiki cha mawasiliano

Kuna haja ya kuishika mkono na kuionesha njia bora zaidi za kuongeza ufanisi badala ya kuizuia kwani hawa ni vijana wa Afrika walioamua kutatua changamoto zinazokumba Jamii zetu kupitia habari badala ya kujiingiza kwenye makundi mabaya

Tuna kila sababu ya kuwapongeza na kuwashika mkono kwa namna yeyote ile ili waendelee kuchochea maendeleo ya Afrika
 
Maendeleo makubwa hayawezi kuja pasipo kufahamu changamoto zinazozuia mafanikio

JamiiForums kwa miaka mingi imekuwa ikitatua changamoto za Afrika hasa katika maswala yanayoigusa jamii kwa ujumla kupitia habari, jambo lililokuwa likisaidia Serikali kuona changamoto za Wananchi wake na kutatua

Ikiwa kuna changamoto za maudhui basi ni vyema kuikumbusha kanuni za Mawasiliano badala ya kusitisha huduma kwani maudhui yote ni user generated content na ikiwa kuna makosa basi yanakuwa yamesababishwa na baadhi ya watumiaji wasiofahamu Sheria za mitandao ya kijamii na sio mtandao wenyewe kwani JamiiForums inajenga Afrika na sio kubomoa na hii ndiyo dhamira kubwa ya chombo hiki cha mawasiliano

Kuna haja ya kuishika mkono na kuionesha njia bora zaidi za kuongeza ufanisi badala ya kuizuia kwani hawa ni vijana wa Afrika walioamua kutatua changamoto zinazokumba Jamii zetu kupitia habari badala ya kujiingiza kwenye makundi mabaya

Tuna kila sababu ya kuwapongeza na kuwashika mkono kwa namna yeyote ile ili waendelee kuchochea maendeleo ya Afrika
Jamii forums ni site number moja inayotumika kukosoa serikali. Hawapendi hilo
 
Wakati hapo walipo wanatamani waifutilie mbali lakini ndio hawana huo uwezo...
 
Back
Top Bottom