Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

...Hii ndege ikifika Magufuli atazunguka mikoani akitangaza "zile ndege tulizoagiza zimefika..."

...Kamwe hatasema kwamba amechota mahela mengine kuficha skandali la ndege zilizopotea.

...Vast majority ya wapiga kura wa Magufuli hawaelewi mambo ya kesi za ndege kukazwa hukumu Canada.

...Na Magufuli anawajua watu wake, wataona kweli ndege zimefika, wengi hawana taarifa ya kinachoendelea duniani.

...Wale wanaojaribu kuamsha wengine wanawahofia, wanawawahi kuwa shuti mchana kweupe.
Zungusha sana mikono. 2020 inakaribia.
 
Wanasahau kilimo wako busy kununua ndege wanasahau hiyo ni biashara kama biashara zingine hivyo inapaswa kwenda nayo taratibu na kwa uangalifu.

Hizi Bomberdier mbili zilizopo hata hatujui perfomance ikoje maana hata utoaji wa taarifa zake haueleweki.
Unataka taarifa wakuletee nyumbani kwako ?
 
Ethiopia inaongoza kwa kuwa na ndege nyingi lakin watu wake bado ni maskini ,kila siku tunawakamata kama wahamiaji haram
 
Tuimarishe kilimo kwanza kwa kuwawezesha Wananchi kuondokana na umaskini.
 
Jambo jema sana, ila naiomba serikali isilipe cash hata kama fedha inazo

Serikali iwalipe watengenezaji mara tu zitakapo wasili Tanzania

Huwa nina hisia kuwa malipo ya cash kwa ndege zilizopita nayo yamechangia kukamatwa kwa moja ya Bombadier yetu


Niko tayari kurekebishwa kama ninakosea
Tatizo 10% ataipataje asipofanya maajabu ya ulimwengu kununua ndege kwa cash! amezoeleka kuwaambia wakosoaji ni wapiga dili wakati naye ni mpiga dili mzuri tu
 
Wanasahau kilimo wako busy kununua ndege wanasahau hiyo ni biashara kama biashara zingine hivyo inapaswa kwenda nayo taratibu na kwa uangalifu.

Hizi Bomberdier mbili zilizopo hata hatujui perfomance ikoje maana hata utoaji wa taarifa zake haueleweki.
Njia zote za kibiashara tiyari zina ndege za kutosha na wakati mwingine ndege hukosa abiria labda anafuta ndege za kutua chato
 
Sasa unataka apewe Nani nchi kuongoza mkuu maana ndo keshakua Rena rais utake usitake mkuu.
Lugha yako ni ya walofilisika hoja ambao wana hamu ya kuwakoroga watz na kuvuruga amani. NINAKUSHAURI uwaachie wenye uwezo wa kujenga hoja za kutathmini mwenendo wa nchi na matokeo yake katika maendeleo wakusaidie kutazama. Mijadala hii ndio hatimae huchochea kusonga mbele kama nchi. Ya kwako ndo uchochezi halisia. AMEN
 
Good news. Ila ningeshauri anunue na ndege za medium range kama Bombardier CS300 na Embraer (E jet series) au hata Sukhoi. Soko la kukamata kwanza ni la Afrika hizo za masafa marefu baadae.
 
Upewe taarifa ya perfomance kwani wewe ni mwenyekiti wa bodi ya Atcl?
Kilimo kwanza tumekwenda nacho miaka 10,hata wewe na chama chako kwenye ilani yenu hakuna kilimo kuna elimu,leo unajifanya mshauri elekezi
Mambo yenu ya kifichoficho ndo yalotufikisha pabaya kwenye madini. Ufumbuzi wake mmeutafuta kwa kificho. Hatma yake mpaka sasa????? labda ndio kificho.
 
Nchi yenu IPI?

Hivi wewe kila siku kushoboka na UTz unafikiria nini?
Nimeshakwambia utarudi Gisenyi bila malapa
Kama huijui nchi yetu basi nenda mkaungane na [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ili muunde nchi yenu ya wasaliti mtuachie hii yetu tunaoipenda.
 
Back
Top Bottom