Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,588
Reaction score
1,859
Serikali ya Tanzania ipo katika hatua za mwisho kununua ndege nyingine ya Boeing 787.

Itakumbukwa ya kwamba serikali washa-order ndege nne, ambazo ni Boeing787, CS300 na Bombardier q400, ndege zote Zitawasili July mwaka huu.

Source: Aviation Tanzania
 
Poa sana,mwaka huu tutakwenda hadi chato kwa boinge
 
Hili ni jambo zuri kwa serikali kwenye dhamira yake ya kufufua shirika letu la ndege, lakini vilevile lazima ijitahidi kugusa sehemu kubwa ya uchumi ambao unagusa(unamilikiwa) wengi hasa kwenye sekta ya kilimo na viwanda ingependeza sana kama serikali ingejikita intensively kusaidia kuinua kilimo hasa wakulima wadogowado na kuwatafutia masoko ndani na nje ya nchi.

Japo hili linalofanywa na serikali nalo lina mchango wake kwenye ufufuaji Wa uchumi hongera mh.raisi kwa kufufua hili shirika ambalo lilishafariki.
 
serikali ya Tanzania ipo katika hatua za mwisho kununua ndege nyingine ya Boeing787. itakumbukwa ya kwamba serikali washaorder ndege nne, ambazo ni Boeing787,CS300 na bombardier q400, ndege zote Zita wasili July mwaka huu.
source:Aviation Tanzania

Jambo jema sana, ila naiomba serikali isilipe cash hata kama fedha inazo

Serikali iwalipe watengenezaji mara tu zitakapo wasili Tanzania

Huwa nina hisia kuwa malipo ya cash kwa ndege zilizopita nayo yamechangia kukamatwa kwa moja ya Bombadier yetu


Niko tayari kurekebishwa kama ninakosea
 
Back
Top Bottom