RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,859
Serikali ya Tanzania ipo katika hatua za mwisho kununua ndege nyingine ya Boeing 787.
Itakumbukwa ya kwamba serikali washa-order ndege nne, ambazo ni Boeing787, CS300 na Bombardier q400, ndege zote Zitawasili July mwaka huu.
Source: Aviation Tanzania
Itakumbukwa ya kwamba serikali washa-order ndege nne, ambazo ni Boeing787, CS300 na Bombardier q400, ndege zote Zitawasili July mwaka huu.
Source: Aviation Tanzania