Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

Serikali kununua ndege nyingine ya Boeing 787

Sasa nini kinaweza rekebisha uchumi uliokufa..?
Kuwekeza kwenye kilimo cha kibiashara kitawafanya watanzania zaidi ya 70% wanufaike sana kiuchumi na hivyo kuinua pato la taifa. Uchumi wa viwanda unahitaji mapinduzi ya kilimo ili malighafo zipatikane kwa urahisi. Hii ndo namna ya kurekebisha uchumi. Kuwekeza kwenye ndege ni ni kutaka sifa tu badala ya maendeleo endelevu!
 
Sasa nini kinaweza rekebisha uchumi uliokufa..?
Matumizi mazuri ya pesa ,sio unaamka tu unagawa ela kama pedeshee ndama unasahau kua ww ni uchwara(bajeti ifuatwe)
2.kuacha kuwakurupukia wawekezaji,tuwe na sera nzuri
3.kutoa ajira kwa watu ,hii itabust individual economy and hence national economy
4.kuacha kufukuza watu kazi hovyoo
5.kuacha mambo ya one man show,hii inasababisha kazi zifanywe ili kum plesease mtu mmja tu
6.kuruhusu uhuru wa maoni,au kupokea ushauri


Nchi ile ya mashariki ya mbali ni bora ingeongozwa na mtu wa elimu ya std 7 angeifikisha mbali kuliko yule dk
 
Kuwekeza kwenye kilimo cha kibiashara kitawafanya watanzania zaidi ya 70% wanufaike sana kiuchumi na hivyo kuinua pato la taifa. Uchumi wa viwanda unahitaji mapinduzi ya kilimo ili malighafo zipatikane kwa urahisi. Hii ndo namna ya kurekebisha uchumi. Kuwekeza kwenye ndege ni ni kutaka sifa tu badala ya maendeleo endelevu!
ndege si watu watalipa nauli na serikali itapata faida mkuu
 
Ukiangalia comments nyingi humu jamiiforum siku hizi unagundua wale wajinga wa instagram na facebook ndo wamevamia ila the great thinkers hawamo tena.
Sasa kuna haja gani ya ku-think big kwenye mambo slight!??
 
serikali ya Tanzania ipo katika hatua za mwisho kununua ndege nyingine ya Boeing787. itakumbukwa ya kwamba serikali washaorder ndege nne, ambazo ni Boeing787,CS300 na bombardier q400, ndege zote Zita wasili July mwaka huu.
source:Aviation Tanzania
....Ile inayoshikiliwa bondi vipi?
 
Kuwekeza kwenye kilimo cha kibiashara kitawafanya watanzania zaidi ya 70% wanufaike sana kiuchumi na hivyo kuinua pato la taifa. Uchumi wa viwanda unahitaji mapinduzi ya kilimo ili malighafo zipatikane kwa urahisi. Hii ndo namna ya kurekebisha uchumi. Kuwekeza kwenye ndege ni ni kutaka sifa tu badala ya maendeleo endelevu!
Sawa sawa.Kwahiyo Ethiopia,Kenya,Rwanda na Egypt walivyowekeza kwenye airlines wametaka sifa mkuu na hakuna impact yeyote katika uchumi wao?
 
Matumizi mazuri ya pesa ,sio unaamka tu unagawa ela kama pedeshee ndama unasahau kua ww ni uchwara(bajeti ifuatwe)
2.kuacha kuwakurupukia wawekezaji,tuwe na sera nzuri
3.kutoa ajira kwa watu ,hii itabust individual economy and hence national economy
4.kuacha kufukuza watu kazi hovyoo
5.kuacha mambo ya one man show,hii inasababisha kazi zifanywe ili kum plesease mtu mmja tu
6.kuruhusu uhuru wa maoni,au kupokea ushauri


Nchi ile ya mashariki ya mbali ni bora ingeongozwa na mtu wa elimu ya std 7 angeifikisha mbali kuliko yule dk
Sasa unataka apewe Nani nchi kuongoza mkuu maana ndo keshakua Rena rais utake usitake mkuu.
 
Ndege huwa nq commision nzuri. Hivyo kqmpeni 2020 tutasema hatukusaidiwa
 
Mkuu ,kuna vitu vingine vinatokea bahati mbaya,yeye ni mkulu bahati mbaya,,,mimi sio mshabiki wa siasa but i think this country deserve someone better than him,someone with vision
Usiseme kwamba wewe sio shabiki wa siasa mkuu.Lol yaani hapo tayari ushazama kwenye siasa maana umetekenya gurudumu la siasa.Unajua lazma ufahamu mkuu sisi watanzania hata aje Nani hatuwezi acha kulalamika.Nani ana vision mkuu zaidi ya wengine...let's judge this man akishamaliza hatamu..kumbuka Hakuna mwanadamu aliekamilika asilimia 100% na kila mwanadamu ana mazuri yake na mabaya yake kwahiyo tujifunze kutambua kwamba nasisi tuna madhaifu makubwa Sana.kwenye mazuri tusifie kwenye mabaya tuseme lakini huwezi kua na negative mind kila wakati hatuendi hivyo mkuu.
 
Usiseme kwamba wewe sio shabiki wa siasa mkuu.Lol yaani hapo tayari ushazama kwenye siasa maana umetekenya gurudumu la siasa.Unajua lazma ufahamu mkuu sisi watanzania hata aje Nani hatuwezi acha kulalamika.Nani ana vision mkuu zaidi ya wengine...let's judge this man akishamaliza hatamu..kumbuka Hakuna mwanadamu aliekamilika asilimia 100% na kila mwanadamu ana mazuri yake na mabaya yake kwahiyo tujifunze kutambua kwamba nasisi tuna madhaifu makubwa Sana.kwenye mazuri tusifie kwenye mabaya tuseme lakini huwezi kua na negative mind kila wakati hatuendi hivyo mkuu.
Sawa mkuu,ngoja tusubiri maybe miracle will happen at the last minute,,labda mwishoni hali itakua nzuri kama ulivosema
 

Lisu na Zito Kabwe hawapendi kusikia nchi ikipiga hatua, wao hupenda kusikia ikishindwa ili wapate kukosoa
Huko USA na nchi za ulaya watu wanakosoa, sembuse nchi hii masikini inayotegemea kujazia bajeti yake ya nchi kwa 40% toka huko Ulaya na USA?!
 
Kuwekeza kwenye kilimo cha kibiashara kitawafanya watanzania zaidi ya 70% wanufaike sana kiuchumi na hivyo kuinua pato la taifa. Uchumi wa viwanda unahitaji mapinduzi ya kilimo ili malighafo zipatikane kwa urahisi. Hii ndo namna ya kurekebisha uchumi. Kuwekeza kwenye ndege ni ni kutaka sifa tu badala ya maendeleo endelevu!
Wewe tokea uzaliwe ushawahi kulima hata bustani ya mchicha?

Kilimo bila kiwanda hakikufikishi popote. Mtibwa na kilombero wanalima miwa Kwa vile kiwanda cha sukari kipo. Tanga wanalima mkonge Kwa vile kiwanda kipo. Watu wanalima ufuta na matunda maana viwanda vya kununua vipo. Uwepo wa viwanda unashawishi kilimo kufanyika; ila kilimo hakiwezi kushawishi kiwanda kujengwa.

Acha viwanda vijengwe kilimo kitakuwa kufuatana na mahitaji ya viwanda.
 
Back
Top Bottom