Serikali kujenga Daraja jipya Mto Wami

Serikali kujenga Daraja jipya Mto Wami

This is long overdue...the current situation may cut off some parts in case of emergence
 
Hujaelewa namaanisha waiboreshe iwe hata kama hiyo wanayotaka kujenga reli ya kati unaondoka dar asubuhi jioni upo moshi kwa usafiri wa bei nafuu na uhakika
Hizi ni hadithi mkuu, sisi tupande mabasi. Mbona ni mazuri sana!
 
Kuchezea pesa ya umma, leo ndo wameona daraja ni jembamba???
Na wewe kweli Karumekenge! Kwa hiyo kama wameliona kosa wasilisahihishe kisa wamechelewa? Ama kweli kwenye msafara wa mamba na Kenge wamo! JF imepata Kenge wake!
 
yaonyesha halikuwa na umuhimu kipindi hicho, hata sasa hatujui lini....?
 
Hongera sana, maana pale pamekuwa na ghadhabu .

Hapa kazi tu.
 
Wajenge daraja zuri ,maana ule ulimi wa nyoka ulikuwa unatisha
 
Back
Top Bottom