Serikali kuanza kujenga barabara za juu kupunguza msongamano wa magari Dar!



kaka hujasoma nyakati tu... hawa jamaa hawana nia ya kupunguza foleni ila wanataka kutumia fly over kwa ajili ya kuombea kura... trust me.. ni kama U Dom walijenga kwasababu walijua wataambia watanzania angalia tumejenga chuo kikubwa... ndo hivyo hivyo watakavyosema 2015 kuhusu hizo fly over... wait and see
 
Hzo flyng over ztajengwa dar ipi hii ambayo ni unplanned au ndo hyo Kigambon new city?
 
Mipango mingi utekelezaji hafifu..
Mara mradi wa mabasi yaendayo kasi, mara Flyovers, mara upanuzi wa barabara nk.. Jamani em rekebisheni hizi barabara za uswazi ndipo mfikirie hayo magorofa yenu ya angani..
Miafrika ndivo tulivyo.

tatizo kila mpango ukiwekwa watu wanaenda mahakamani.. Mabas ya kasi watu hawakukubaliana na fidia wakaenda mahakaman ukasitishwa. Barabara za mitaan zinatakiwa kuendelezwa na halmashauri za manispaa ndo hazitengenezwi wanakimbilia kuweka mabango tu. Flyovers zitajengwa watang'ang'ania kuweka mabango. Mie simo
 

Hii yote ni zile ahadi za Mkubwa za wakati wa Campaing ....sasa anagalia kitu kinacho kuja hapo.......vitu havitafanyika kitaaluma ili tu watu wapate cha kuwaeleza wapiga kura 2015.....hakuna atakaye fikiria juu ya miaka 10 -15 au 20 ijayo....Swali la kwanza la kujiuliza hivi feeder roads zote za Dar zinapitika?......zimejengwa kwa kiwango gani? kujenga Fly overs wakati mipango miji yenyewe issue....Bila ya kufanya maamuzi magumu ya kubomoa badhi ya mitaa... na maeneo mingine ili kuwa na mpango mzuri wa jiji bado ni bure.......!!!! Serekali ilitakiwa kujipanga kwa kuupanga upya mji wa Dar... na sio kukimbilia kujenga Fly overs pekee....take it from me hata baada ya ujenzi wa hizi fly overs katika junction pekee zitawezesha kuhamishia foleni sehemu nyingine tuu kwahiyo foleni bado Dar haitaisha.......
 
barabara za juu hapa anamanisha kuvuka junction tu na kwa maana hiyo ni fupi(span less than 1 kilometer). kwa maana hiyo siyo gharama kihivyo. Zinabebwa na nguzo tu. Serikali inaweza kufanya hivyo na kupunguza foleni kwenye junction lakini huko yanakoelekea magari je?(mjini) .maana huko sasa yataingia kwa haraka zaidi na kwa wingi.FOLENI ZAIDI MJINI
 
hawa jamaa hawana nia ya kupunguza foleni ila wanataka kutumia fly over kwa ajili ya kuombea kura... trust me..

Trust me, hata hayo maandamano ya CDM hayana lengp la kutatua shida za watanzania bali kuombea kura tu.
 
Badala ya kukimbilia hizi flyovers kwa nini wasiimarishe feeder roads? Mfano
Mwananyamala-Sinza
Makongo-Kimara
Wazo-Kibaha
 
Mwacheni Magufulu wa watu atujengee barabara za kuruka...

Wataka Kuruka wakati Kutambaa shida ndugu yangu!Dr.Magufuli angeomba orodha ya barabara mbovu ambazo zikijengwa msongamano utaisha,Jamvi halikopeshi?
Mie Mkweche sipendi kuishi Dar ajili ya Msongamano!
Chanzo Msongamano ni kwamba barabara chache!
 
wakijenga barabara za mitaa hawatapata nafasi nzuri ya kuiba hela umma so lazima washinikize miradi mikubwa ambayo mwisho siku itakua muda mrefu nao watakua washachota mipesa kibao kupitia project hizo....Umesahau richmond ? Yangu macho...
 
<br />
<br />
unadhan hao wajapan wanasaidia burebure? Ni just xchange of our natural resources kwa msaada.
 
 
Hivi ni kweli wanajanvi kuwa wajapani hutoa pesa za miradi kama hiyo na kuisimamia?kama jibu ni ndio barabara ya kilwa kuanzia round about ya bandari hadi mbagala ilijengwe chini ya viwango Magufuli na wizara yake wamekataa kuipokea sasa wajapani haohao kupitia JICA wanakuja na hizo barabara za juu aaaaah!!!!!!Mungu atunusuru zikijengwa chini ya viwango tumekwisha tutaporomoka na magari na kuongeza idadi ya yatima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…