Mundungus Fletcher
JF-Expert Member
- Jun 7, 2009
- 327
- 79
Mpango huu wa serikali hauna tija na ni ufujaji wa rasilimali ya nchi. Nina uhakika wataalam hawajashauri njia hiyo ya kutatua kero ya foleni.
Nimeesikia mapendekezo ni kujenga fly over pale ubungo na tazara. Cha kujiuliza ni kwamba zitakuwa na tija? Kumbuka hapatakuwa na flyover pale shekilango, wala magomeni au fire au hata makutano ya morogoro na bibi Titi. Je, traffic itakayopita ubungo toka mbezi itaflow vipi katika junctions hizo? Nikitafakari sana nakumbuka ule utaratibu wa njia tatu wa enzi za Lowassa!
Naishauri serikali hii ya ccm iache kukurupuka na ifanye mambo kwa kuzingatia ushauri wa kitaalam na kwa kufanya tafiti. Hizo pesa za fly over zitumike kuboresha feeder roads kwanza!
Siku hizi hata wakuja wote mnamagari, halafu hakuna maendeleo? Mnanshangaza!
Mipango mingi utekelezaji hafifu..
Mara mradi wa mabasi yaendayo kasi, mara Flyovers, mara upanuzi wa barabara nk.. Jamani em rekebisheni hizi barabara za uswazi ndipo mfikirie hayo magorofa yenu ya angani..
Miafrika ndivo tulivyo.
Mpango huu wa serikali hauna tija na ni ufujaji wa rasilimali ya nchi. Nina uhakika wataalam hawajashauri njia hiyo ya kutatua kero ya foleni.
Nimeesikia mapendekezo ni kujenga fly over pale ubungo na tazara. Cha kujiuliza ni kwamba zitakuwa na tija? Kumbuka hapatakuwa na flyover pale shekilango, wala magomeni au fire au hata makutano ya morogoro na bibi Titi. Je, traffic itakayopita ubungo toka mbezi itaflow vipi katika junctions hizo? Nikitafakari sana nakumbuka ule utaratibu wa njia tatu wa enzi za Lowassa!
Naishauri serikali hii ya ccm iache kukurupuka na ifanye mambo kwa kuzingatia ushauri wa kitaalam na kwa kufanya tafiti. Hizo pesa za fly over zitumike kuboresha feeder roads kwanza!
Afadhali ya choo ukijenga kabla ya nyumba utakifanya public toiletBarabara za chini zimewashinda za juu wataziweza?
Ni sawa na kutaka kujenga choo kabla ya nyumba
hawa jamaa hawana nia ya kupunguza foleni ila wanataka kutumia fly over kwa ajili ya kuombea kura... trust me..
<br /> <br / wakuja ndio wakina nani hao?Siku hizi hata wakuja wote mnamagari, halafu hakuna maendeleo? Mnanshangaza!
Mwacheni Magufulu wa watu atujengee barabara za kuruka...
wakijenga barabara za mitaa hawatapata nafasi nzuri ya kuiba hela umma so lazima washinikize miradi mikubwa ambayo mwisho siku itakua muda mrefu nao watakua washachota mipesa kibao kupitia project hizo....Umesahau richmond ? Yangu macho...Mh.Magufuli amedai bungeni kwamba serikali itaanza ujenzi wa barabara za juu Dar! Mie Mkweche najiuliza kweli kunahaja ya kujenga barabara za juu wakati barabara nyingi za mitaa ni Mbovu? kwanini zisijengwe za mitaani kwanza ili kupunguza msongamano maneke ubovu wa barabara za mitaani ni chanzo namba moja cha msongamano dar
Trust me, hata hayo maandamano ya CDM hayana lengp la kutatua shida za watanzania bali kuombea kura tu.
<br />Nifahamuvyo mimi kuna sababu za msingi zilizofanya serikali iombe msaada Japan. Hii ni sababu wajapan ndio wametoa pesa ya kugharamia upembuzi yakinifu na wako tayari kutoa pesa za kujenga fhizo flyovers. Inawezekana kabisa kuna watanzania huko ughaibuni wenye utaalam wa kujenga hizo barabara za juu. Swali ni kwamba tukiwatumia hao nani atagharamia?
Hebu tusiibeze serikali wakati inapotaka kufanya mambo ya maana. Flyovers Dar ni muhimu na sioni kwa nini mtu atilie shaka kwamba serilkali haitaweza. Tuipe muda serikali ijenge hizi flyovers
Endelea kulaka, tunauliza uwezekano wa kufanikiwa kwa hizo fly over ikiwa za kawaida zimeshindikana, we unasema tunaibeza! Na unashauri eti tuicha ifanye kazi yake, hebu tuambie mradi wa maana uliofanikiwa zaidi ya kuishia wizi mtupu. Sleep well!!!!
<br />Siku hizi hata wakuja wote mnamagari, halafu hakuna maendeleo? Mnanshangaza!