fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Serikali iache blahh blahh ihamie Dodoma kwanza na kuweka nguvu kubwa pale, waupangilie mji wa Dodoma kwa vision ya miaka 200 ijayo, kwa Dar mimi naunga mkono wazo la kuboresha feeder road na kuondoa mizunguko (roundabout) badala yake kuwe na madaraja ya kupishana kama wenzetu Kenya wanavyofanya sasa badala ya kuwa na flyover moja halafu inaenda kuishia kwenye jam ni sawa na kucheza mchezo wa kijificha..