kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,308
- 2,070
Ni kupoteza muda na fedha.
Tatizo la Dar sio usafiri wala daladala. Tatizo ni barabara finyu zisizoendana na uwingi wa magari.
Mfano mzuri ni kuanzia Kimara mpaka Kibaha foleni imepotea baada ya kujengwa barabara ya njia nane. Kwa nini zisijengwe barabarani kuu zote kama hivo muone kama kutakua na foleni tena.
Ujenzi wa mwendokasi haujasaidia kumaliza foleni na infact barabara zenye mwendokasi ndio foleni imekua kali zaidi kutokana na barabara kufinywa.
Barabara ya mbagala nayo imekua kero baada ya kujengwa mwendokasi.
Jengeni barabara za njia nane acheni daladala zifanye kazi kuliko hio mwendokasi iliogeuka adhabu kwa wananchi.
Tatizo la Dar sio usafiri wala daladala. Tatizo ni barabara finyu zisizoendana na uwingi wa magari.
Mfano mzuri ni kuanzia Kimara mpaka Kibaha foleni imepotea baada ya kujengwa barabara ya njia nane. Kwa nini zisijengwe barabarani kuu zote kama hivo muone kama kutakua na foleni tena.
Ujenzi wa mwendokasi haujasaidia kumaliza foleni na infact barabara zenye mwendokasi ndio foleni imekua kali zaidi kutokana na barabara kufinywa.
Barabara ya mbagala nayo imekua kero baada ya kujengwa mwendokasi.
Jengeni barabara za njia nane acheni daladala zifanye kazi kuliko hio mwendokasi iliogeuka adhabu kwa wananchi.