Serikali ku-renew mkataba wa IPTL?

Serikali ku-renew mkataba wa IPTL?

Hawa IPTL walichoomba ni leseni tu. Mkataba tayari wanao hadi 2022. Ni kama leseni yako ya biashara unavyoenda ku renew kila mwaka ndicho wanachoomba hapa hao IPTL.

Kuhusu mkataba bado wapo wapo sana

Ndivyo ilivyo mkuu, tena kipindi wanasaini mkataba, tulisikia ni mpaka 2033. Na wajuvi wakasema kijana wa kike na kijana wa kiume wa Mkwere ndio shareholders wakubwa na mwingine ni yule yule singha. Eti kwa siku wanamkamua Twiga tzs 400,000,000, ambazo wanagawana nusu kwa nusu, yaani Wakwere nusu, Singha nusu. Wajuvi wakasema Mkwere alisainisha mkataba wa dharula wa miaka 20 kipindi walipoingia. Yaanj tulijiandaa kuwa na dharula kwa miaka 20 mbele.

Kwa jinsi inavyoonekana, dharula bado inaendelea, na hao EWURA ni nani hasa??? Baada ya yote waliyoyasikia Boongeni na malalamiko, EWURA wao sio wananchi ili wawe wa kwanza kuweka pingamizi????
 
Hawa jamaa wakiongezewa mkataba basi nitajua hii nchi ya wasengerema! Bahati nzuri tuna fursa ya kushawishi hawa jamaa wasiongezewe muda. Shime wote tutenge siku tupeleke barua zetu za kupinga kwa mkono, posta na EMS (mimi binafsi nitapeleka kwa mkono na DHL). Wanaharakati na wanasiasa mliowahi kukemea wizi huu wa mchana, hii ni nafasi yenu ya kuitisha mikutano na hata maandamano (Yuvisisimizi mnaweza kuruhusiwa na polisi) kupinga hawa mumiani kupewa nafasi nyingine ya kutuibia.

Na hapa ndo kuna kipimo cha rais wetu, hawa wezi wenye suti wakipewa tena mkataba basi tusisikie tena kelele za ufisadi. Kampuni hii imetudhalilisha kama nchi, imetuibia sana kupitia bei ya umeme ambayo haiingii akilini. Mim kama mwananchi, nipo radhi kukosa umeme kwa nyakati fulani au nyakati zote ili mradi mumiani kama IPTL na wengineo wameondoka ktk sekta ya umeme.
Sio lazima tuwanyime mkataba maana washatutia hasara, ni muda wa kuwapa mkataba tunaotaka sisi la sivyo wafunge virago. No capacity charge payments, na unit ya umeme wauze sh 7 badala ya sh 100. We got to chase them in a most "sweet" painfull way kama ambavyo wametunyonya in the same way, Wapuuzi sana hawa!
 
Katika hali ya kawaida hao IPTL hawapaswi kupewa Leseni ya kuzalisha na kuuza umeme baada ya ile Power Purchase Agreement (PPA)kufikia ukomo wake. Mkataba ni wa Miaka 20 maana yake ni kwamba mitambo imefikia mwisho wake. Pamoja na kwamba mkataba una mapungufu makubwa kwani IPTL amelipwa Capacity Charges kwa miaka 17 yote ya uhai wa PPA jambo ambalo ni maajabu ya Dunia kimsingi ilitakiwa baada ya kufikia ukomo wa ile PPA iliyofanyika mwaka 1997 walipaswa hiyo mitambo ihamishiwe iwe Mali ya TANESCO. Hii Sanaa ya EWURA ya kutaka kupata MAONI ya WADAU kuhusu kuongeza muda hadi mwaka 2022 ni jambo ambalo haliingii akilini. Masharti ya kununua mafuta ni ujinga uliokubuhu na watu walioingia mkataba huo wanastahili kunyongwa hadi wafe. IPTL wamelipwa cAPACITY CHARGE YA Dola za Kimarekani million tatu kila mwezi sawa na dola milioni 36 kwa mwaka kwa miaka 17 IPTL imelipwa Dola milioni 612 . KWA MTAMBO ULIONUNULIWA DOLA MILIONI 100. BADO WAMELIPWA GHARANA ZA UMEME PAMOJA NA KULIPIWA MAFUTA. EWURA WASIJIFANYE WAMESHUKA KUTOKA MBINGUNI NA KWAMBA HAWAJUI HUU WIZI. KUWAPATIA LESENI NI KOSA AMBALO HAWAPASWI HATA KUULIZA MAONI YA WATANZANIA. WANAFIKIRI WATANZANIA NI MAFALA AU WAMEKUFA? MAAZIMIO YALIYOPITISHWA KWA MBWEMBWE MWAKA 2014 NA KUMFANYA MUHONGO AFUKUZWE KWA KUDANGANYA FEDHA ZA ESCROW HAZIKUWA ZA WATANZANIA YAKO WAPI?? Ewura, EWURA hamjaumbwa na haya???// TENA WAPELEKEWE KWA MAANDISHI ///? MAONI KUTOKA JF yanatosha kuwanyima Leseni>> kama EWURA hawajui kufa wachungulie kaburini?? NI MARUFUKU KUJADILI TRA NA KICHERE FUTA LESENI YA BIASHARA MARA MOJA YA IPTL ACHENI KUCHEKA """ TENA TUMESIKIA MNATAKA KUWARUHUSU WANUNUE NA KUFUNGA MITAMBO YA GESI MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA!
 
Hii leseni watapewa tu, hakuna mweye uwezo wa kuwanyima labda mngetengua Power Purchase Agreement (PPA) walioyoingia na Serikali kupitia TANESCO. Kama kuna anayebisha angalia walivyoframe request "continue with electricity generation activities in line with the existing Power Purchase Agreement which ends on 15th January 2022." Tatizo sio license renewal, tatizo lipo kwenye PPA mliyoingia nao.

KINGMARIO!
WACHA KUSEMA UWONGO JAMBO USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA ? KUKOSA LESENI NI SABABU TOSHA YA KUVUNJIKA KWA PPA. ONE OF THE RISKS TO THE SELLER INCLUDES AMONGST OTHERS "FAILURE TO OBTAIN NECESSARY PERMITS/APPROVALS / LICENSE" EWURA WASIPOMPATIA OR REFUSAL TO RENEW THE LICENSE NDIO MWISHO WA BIASHARA WATAMSHITAKI WAPI EWURA UAMUZI WA REGULATOR UNA MASHIKO NA SABABU ZIPO////?
 
Napenda kufahamu, Je mkataba wao unaisha lini?.

MKATABA (PPA) YA IPTL NA TANESCO NI WA MIAKA 20 KUSHIA JULY 2017. WALIPOANZA BIASHARA EWURA WALIKUWA HAWAPO ILA KWA MUJIBU WA SHERIA WANAPASWA KUPATA LESENI YA KUZALISHA NA KUUZA UMEME KUTOKA EWURA. KWA MWENENDO WA MKATABA ULIVYO MBOVU HII NDIO NAFASI YA KUACHANA NAO BILA KUINGIA GHARAMA ZOZOTE. NITAISHANGAA SERIKALI YA TANZANIA KAMA ITARUHUSU? TANESCO WALIPASWA KUPELEKA NO OBJECTION ILA KWA SABABU MMILIKI WA MITAMBO NI RAIS MSTAAFU JAKAYA MRISHO KIKWETE KUNA WATU WAKO TAYARI KUFUMBA MACHO? KUNA KITU KINAITWA BLIND TRUST NA NDIO MAANA MAKANDOKANDO YA KUFANYA TRANSACTION KULE OFFSHOREICAYMAN ISLAND HATA UKIFUKUA HUTAKAA UMPATE JAKAYA ILA UKWELI NI HUU ATAKURUKA MITA ELFU MOJA/// ? NI SAWA NA MWINYI NA NEW AFRIKA AU MKAPA NA MTIBWA???? HAWA WATU KUNA HAJA YA KUAGANA NAO TENA WAKIWA HAI! MIGODI YOTE WAMEGAWANA, VIWANDA VYA SUKARI MASHAMBA YA KILOMBERO, MTIBWA NA KAGERA WALIGAWANA HAWA WATU NI WALAFI SIJAONA NA WOTE WANAVAA NGUO ZA KIJANI. KAMA JPM HAZUGI HIKI NDICHO KIPIMO CHAKE. HATA SONGAS NI YA WATU HAO HAO KAMA UKOO WA KAMBALE VILE KILA MMOJA ANA;;;;;;;; NSAHINDWA KUANDIKA ...... IN SHORT HIZI PPA ZA TANESCO NA IPTL PAMOJA NA SONGAS ZINASHIKA NAMBA YA KWANZA DUNIANI KWA UBOVU////???
 
CCM wataupitisha kwa makofi na vifijo tuu baadae watasema wanawapenda watanzania Hawataki wanyonywe na IPTL
 
Katika hali ya kawaida hao IPTL hawapaswi kupewa Leseni ya kuzalisha na kuuza umeme baada ya ile Power Purchase Agreement (PPA)kufikia ukomo wake. Mkataba ni wa Miaka 20 maana yake ni kwamba mitambo imefikia mwisho wake. Pamoja na kwamba mkataba una mapungufu makubwa kwani IPTL amelipwa Capacity Charges kwa miaka 17 yote ya uhai wa PPA jambo ambalo ni maajabu ya Dunia kimsingi ilitakiwa baada ya kufikia ukomo wa ile PPA iliyofanyika mwaka 1997 walipaswa hiyo mitambo ihamishiwe iwe Mali ya TANESCO. Hii Sanaa ya EWURA ya kutaka kupata MAONI ya WADAU kuhusu kuongeza muda hadi mwaka 2022 ni jambo ambalo haliingii akilini. Masharti ya kununua mafuta ni ujinga uliokubuhu na watu walioingia mkataba huo wanastahili kunyongwa hadi wafe. IPTL wamelipwa cAPACITY CHARGE YA Dola za Kimarekani million tatu kila mwezi sawa na dola milioni 36 kwa mwaka kwa miaka 17 IPTL imelipwa Dola milioni 612 . KWA MTAMBO ULIONUNULIWA DOLA MILIONI 100. BADO WAMELIPWA GHARANA ZA UMEME PAMOJA NA KULIPIWA MAFUTA. EWURA WASIJIFANYE WAMESHUKA KUTOKA MBINGUNI NA KWAMBA HAWAJUI HUU WIZI. KUWAPATIA LESENI NI KOSA AMBALO HAWAPASWI HATA KUULIZA MAONI YA WATANZANIA. WANAFIKIRI WATANZANIA NI MAFALA AU WAMEKUFA? MAAZIMIO YALIYOPITISHWA KWA MBWEMBWE MWAKA 2014 NA KUMFANYA MUHONGO AFUKUZWE KWA KUDANGANYA FEDHA ZA ESCROW HAZIKUWA ZA WATANZANIA YAKO WAPI?? Ewura, EWURA hamjaumbwa na haya???// TENA WAPELEKEWE KWA MAANDISHI ///? MAONI KUTOKA JF yanatosha kuwanyima Leseni>> kama EWURA hawajui kufa wachungulie kaburini?? NI MARUFUKU KUJADILI TRA NA KICHERE FUTA LESENI YA BIASHARA MARA MOJA YA IPTL ACHENI KUCHEKA """ TENA TUMESIKIA MNATAKA KUWARUHUSU WANUNUE NA KUFUNGA MITAMBO YA GESI MKOME KAMA MLIVYOKOMA KUNYONYA!
Nadhani kuna mtu anatakiwa kufutwa kazi mara moja!Hivi sisi kweli ni wa kujadili IPTL kweli?Hili zimwi limetula miaka yote hii, nasubiri siku chache zijazo, namuaminia mzee wa kutumbua majipu!
 
Andikeni barua kwa wingi wana JF kupinga hii kampuni kuongezewa mkataba!

Na huyo mtu kwenye EWURA anayefikiria hata kuiongezea IPTL mkataba atumbuliwe mara moja maana hajiongezi!
 
Kuwapa au kutowapa kutategemea Power Purchase Agreement inasemaje!!!

Kama PPA inatoa guarantee ya TANESCO kununua umeme wa IPTL hadi mwishoni mwa mkataba wao then hamna namna... hiyo press just formality! Leseni watapewa ili ku-suit contract with regard to PPA!!!

Miaka 5 inatusubiri ya kukamuliwa kama PPA inatoa hiyo guarantee.
 
View attachment 520838
IPTL, ile kampuni inayoinyonya usiku na mchana Tanesco na ikakwapua pesa za Escrow, imeomba muda zaidi iendelee kuiuzia umeme Tanesco!.

Shamelessly!
Tena utakuta kuna Watanzania wenzetu wameaambia kwa kujiamini ''ombeni extension tu, tupo nyuma yenu na tutawalinda. Hizo kelele za Wanasiasa zisiwasumbue''
 
IPTL nyok.o sana.. Na awamu hii watajuta, hawataona kitu..


I believe in JPM
I trust in God.. Amen
Weka akiba ya maneno. IPTL watasaini makubaliano soon.na jpm hatafanya lolote
 
Weka akiba ya maneno. IPTL watasaini makubaliano soon.na jpm hatafanya lolote


Kwa hili hakuna akiba ya maneno no hawapati mkataba.. Full stop, hakuna mkataba na wezi hao..
 
Back
Top Bottom