Goli la mbaaali
Member
- Sep 19, 2019
- 19
- 11
Wanasheria wetu wasomi kazi hii hapa,wananchi tumeibiwa mno,utakuta kwenye kitabu cha wageni imeandikwa KUFIKA unajaza talehe uliyofka,KUONDOKA pia unajaza talehe utakayoondoka, sasa ngoja ifike saa 4 we bwana weee!!Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Marekani pia kuna Motels za kulipia kwa masaa.They are thieves.So you want American thieves to be exempted?
Naongelea hoteli kibwa zenye mamia na maelfu ya vyumba zinazohitaji a systemic way of doing things.Hoja ya kubadili shuka haina mashiko. Kwani reception mbona pana wahudumu 24 hours, kwa nini isiwe kwa wabadili mashuka? Madhalani ninakaa week ina maana hawatobadili mashuka? Ni kuweka utaratibu tu wa shift na kila kitu kitakuwa shwari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Hzo hotel unazozungumzia wanyonge wanaweza kwenda?Akili za kimaskini tu hizi. Wewe ulifikia hostel na siyo hotel. tunaotumia hotel tunakwenda hotel hata kupumzika tu kusubili departure time badala ya kukaa airport masaa mengi.
Usiandike tena huu ujinga wako mbele ya watu wenye akili timamu na exposure kubwa.
Hotel zote zenye hadhi kuna check in and check out time. Cleaning room time. Free breakfast time and so on........
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanielewe wasinielewe to hell with them bila pesa zetu wateja hawana Chao Cha hoteli Wala Nini ? Kama hawataki tutaenda lala guest house za short time wabaki na mihoteli yao ya kijizi ya kuibiwa watejaWenye kufanyia kazi malalamiko yako ndiyo wenye mahoteli makubwa kila kona ya nchi, unategemea watakuelewa!?
Mwizi Ni mwizi hata awe na system za umoja wa mataifa.Huwezi lipa mfano chumba dola elfu mbili kwa siku ume check in SAA kumi usiku halafu saa sita mchana anakwambia toka Ngedere wewe au ongeza helaNaongelea hoteli kibwa zenye mamia na maelfu ya vyumba zinazohitaji a systemic way of doing things.
Si vi guest house vyenye vyumba kumi mnavyoviita hoteli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi, checkout time sio suala la Tanzania, ni Dunia nzima. Wanaweza kukuruhusu hadi saa sita lakini kawaida ni saa nne au saa tano.Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Hivi sisi tuliobarikiwa kuwa matajiri na kumiliki Mahotel tunawakera na nini ?Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja
Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time
Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Kutudhulumu muda wa kuingia na kutoka wenzenu Nchi za Afrika Magharibi muda wa kuingia ndio wa kutoka hawadhulumu wanahakikisha unapewa masaa yako 24 mwambie Sugu na Mbowe na waaomiliki hoteli wa chadema kuwa wateja wanatukeraHivi sisi tuliobarikiwa kuwa matajiri na kumiliki Mahotel tunawakera na nini ?
Mwizi Ni mwizi hata awe na system za umoja wa mataifa.Huwezi lips mfano chumba dola elfu mbili kwa siku ume check in SAA kumi usiku halafu saa sita mchana anakwambia toka Ngedere wewe au ongeza hela
My sentiments exactly.Kiongozi, checkout time sio suala la Tanzania, ni Dunia nzima. Wanaweza kukuruhusu hadi saa sita lakini kawaida ni saa nne au saa tano.
Just imagine ratiba ya checkout iwe shagalabagala, huo usafi utafanyika muda gani?
Kama Nigeria wana utaratibu huo, labda kwenye vi Hotel vya uswahilini. International Hotel brands hawawezi kukubali upuuzi huo.
Mgeni akiona utaratibu wa short time kwenye vi lodge mchafukoge hapa Tanzania, anaweza kudhani ni utaratibu wa Bongo.
Masikini hebu nendeni guest house za keko magurumbasi , haya mahotel waachieni wenye uwezoKutudhulumu muda wa kuingia na kutoka wenzenu Nchi za Afrika Magharibi muda wa kuingia ndio wa kutoka hawadhulumu wanahakikisha unapewa masaa yako 24 mwambie Sugu na Mbowe na waaomiliki hoteli wa chadema kuwa wateja wanatukera
Tuseme huu ni wizi.
Sasa, mnafanya nini kuondoa "wizi" huu zaidi ya kulalamika JF?
Umewehuka?Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana