Madai ya waislamu ni
1. Mahakama ya kadhi ( serikali ishughulikie uendeshaji wake pamoja na kugharamia expendetures mbalimbali ikiwa na kuwalipa wafanyakazi wa mahakama ya kadhi eg: Mashehk, Pamoja serkali kugharamia majengo na facilities za uendeshaji wa mahakama ya kadhi.
2. Tanzania ijiunge na OIC ambayo lengo lake ni kueneza uislamu na kuislimisha Dunia ikiwemo Tz, Pia lengo la OIC ni kuipoteza Israel( Taifa teule la Mungu Mkuu ambalo wakristo ktk biblia takatifu wameamliwa kulibariki na kulipenda kwani kwenda kinyume ni laana) ambapo lengo la OIC ni kuikomboa mji wa Jerusalem.
3. Katibu wa baraza la mitihani awe muislamu.
4. Mgawanyo wa ajira uwe sawa kwa kufata dini.
5. Ijumaa iwe siku ya mapumziko kama jumapili.
Katibu wa baraza la mitihani awe muislamu: ndo mwanzo huo, baadaye mtadai Rais awe Muislamu, baadaye baraza late la Mawaziri wawe waislamu baadaye Viongozi wote wa Nchi hii tangu ngazi ya chini hadi juu wawe waislamu na mwisho Kila kilichopo tanzania kiwe Kiislamu Ina maana na Wananchi wote wa tanzania. Haikubaliki. Dini zote hizo za kikiristo na kiislamu za kuja tu, babu zetu walikuwa na Imani zao, Sasa sisi tumezichangamkia kuwazidi hata waliozileta. Ulimbukeni huo na dini za kuletwa.