alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 90
Mkuu ni haki ipi mnayodai?
Mkuu soma attachment niliyoweka kwenye post zangu za mwanzo ndio utaelewa ni haki gani tunayodai....
Mkuu ni haki ipi mnayodai?
Sasa hivi inatosha tu kwa Waislamu kutangaza kuandamana na serikali itatuma Polisi, FFU, Mgambo au hata JWTZ! kwa wasioona mbali wanaona kuwa hili ni suluhisho sahihi.
Wasichokijua hapa ni kuwa kama Waislamu wataamua kucheza gemu la kutangaza maandamano kila ijumaa na serikali kupeleka vyombo vya usalama misikitini kila ijumaa ukijumlisha na upelekaji wa hivi vyombo kwenye kesi za kina Sheikh Ponda basi ni gharama kubwa sana kiuchumi ambayo serikali inaingia kila Ijumaa.
Vilevile bajeti ya ulinzi nayo inaongezeka, kwa nchi changa kama Tanzania serikali haitaweza kufanya hivi kila ijumaa bila ya nchi kuyumba kiuchumi.
Tathmini yangu inanionyesha na nadhani kuna watakaokubaliana nami kuwa Waislamu wa Tanzania sasa wana uwezo wa kuifyonza nchi kiuchumi! matokeao yake ni kuwa kama yale ya baada ya vita na Uganda, hata Wakristo wanaochekelea kupigwa kwa Waislamu sasa wajue kuwa hizo hela za MoU zitapungua sana kwenda kwao.
Tunachodai Waislamu si Serikali kutuletea jua au mwezi mkononi! ni madai ya haki na ya kimsingi ambayo yanatekelezeka na yoyote yule anayependa uadilifu, vinginevyo subirini nchi kufilisika kabla ya kwenda hatua nyingine.
Sio kitu cha kushangaza mkuu. Watu waliopita waliletewa mitume na kuonyeshwa kila dalili kuwa yeye ni mjumbe na kazi yake ilikuwa kufikisha ujumbe. Juu na hayo yote hawakuamini.
Sio wote watakaopata uzima wa milele.....
uzima wa milele hautapatikana kupitia dini yako. nakwambia kungali mapema. umepotea njia.
Sensa lilikuwa changa la macho tuu wala msituzuge, mbona hata 2002 tulihesabiwa halafu ilipokuja MOU mkapeana nyie tuu watu wa kanisa pekee yenu??? Hivi nyie wakristo kwa sababu mna shule nyingi, hospitali nyingi, vyuo vikuu vingi ndo mnadhani na akili mnazo nyingi saaana kutuzidi??? Haya bhana nyie twendeni tuu mdogo mdogo, tutafika tuu, inaonekana mmeshaota mapembe. Kitaeleweka tuu.
amani kamwe haitasimama ila kwa ncha ya upanga.kutoweka kwa amani ni matokeo ya dhulma na dhulma haidumu.
kila jambo liletwalo mbele ya watu ni lazima litakuwa na pande mbili yaan kuna wanao likubari na wanaolikataa. Kuusiana na madai ya waislam na uislam kwa ujumla ni vivyo hivyo aliyelelewa na kanisa ni vigumu kukubali hata kama ataliona lipo na kama. Na kwa wale waislam waliolelewa na kanisa au watu wa kanisa nao ni ivyo ivyo. Lkn nina ieleweke kila mtu hupata faida na jambo lake sasa inategemeana ni faida gani yeye anaichukulia ni faida yaan kwangu inaweza kuwa hasara lkn kwa mwingine ni faida. Siku ambayo waislam wataachana na malalamiko aya itakuwa ni hasara kwa wakristo hivyo ni lazima kwa sasa wao wa furahie hali hii. Ndugu zanguni tuwe makin sana kwan mdhurumishi huwa aachi dhulma ila pale tu mdhurumiwa atakapo gundua kuwa anadhurumiwa na kuchukua hatua. Ninauhakika kuwa katika ukristo kutukana ni dhambi sasa tuwaulize awa wanaojiita wakristo haya matusi na ukristo wao vipi? Hii ni kwakuwa wanajua hawana mfumo kamili wa maisha ivyo chochote kile kwao ni halali ilmrad tu kiwe kinafaida apa duniani bila ya kujari kama kinampendeza mungu au la kwa wale wanaoshabikia mipango ya kubuniwa na wakristo wenzao kuchoma makanisa waache waendelee kufurahia na watachomana kweli il tu wapate la kuwasingizzia waislam.
Nimefuatilia sana majibu yanayotoka kukiwa na habari yoyote inayohusu Waislam. Wengine utasikia magaidi hao,hawana ustaarabu,watu wa vurugu n.k........
Nakaa najiuliza tatizo na waislamu ambao hawapractise uislamu vizuri au ni uislamu kama dini yenye matatizo? Wengine utasikia dini ya ugaidi hiyo, wengine magaidi hao sielewe kwa kina tatizo ni dini ya Uislamu au waislamu?
Kama tatizo ni uislamu tuangalie Qura'am tukufu imeandika nini kuhusu mtu kumuua mwenzako pasi na sababu yoyote:-
مِنْ أَجْلِ ذَٰلِكَ كَتَبْنَا عَلَىٰ بَنِي إِسْرَ*ائِيلَ أَنَّهُ مَن قَتَلَ نَفْسًا بِغَيْرِ* نَفْسٍ أَوْ فَسَادٍ فِي الْأَرْ*ضِ فَكَأَنَّمَا قَتَلَ النَّاسَ جَمِيعًا وَمَنْ أَحْيَاهَا فَكَأَنَّمَا أَحْيَا النَّاسَ جَمِيعًا ۚ وَلَقَدْ جَاءَتْهُمْ رُ*سُلُنَا بِالْبَيِّنَاتِ ثُمَّ إِنَّ كَثِيرً*ا مِّنْهُم بَعْدَ ذَٰلِكَ فِي الْأَرْ*ضِ لَمُسْرِ*فُونَ ﴿٣٢
Tafsiri yake:-
Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi. Sura Al-Maeda aya ya 32
Kwa andiko hili ni wazi kabisa Qura'n umeupa uzito wa hali ya juu uhai wa mwanaadamu kwani kuuwa pasi na sababu yoyote kisheria ni kosa kubwa mbele ya ALLAH.
Nathubutu kusema kuwa hakuna dini yoyote yenye andiko linalofanana na hili au lenye maana kama hii. Kwa mantiki hiyo Uislamu kama dini inathamini sana uhai wa mtu yoyote regardless dini yake. Sasa inakuaje kama waumini hawafuati maandiko (katika kila jamii watu kama hawa wapo) utasema kuwa dini yao ndio yenye matatizo au waumini wenyewe ndio wenye matatizo?
Ikiwa ni kuupiga vita na kuupaka matope Uislamu, walishafanya haya waliotangulia lakini hawakufanikiwa. So ikiwa mtu yoyote mwenye fikra kama hiyo ajue wazi kuwa ndoto yake haitatimia. Waliokuwa na mali zao wakaupiga vita uislamu kwa nguvu zao zote na hawakufanikiwa,itakuwa nyinyi mnaosemasema maneno tu?
Endeleeni kukejeli dini za wenzenu mwisho wa siku hakuna impact yoyote. Lakini nataka kusema kuwa Western Media & America wamefanikiwa kwa kupiga propaganda za hali ya juu na kuhalalisha vita katika nchi za Kiislamu. Lakini ukiangalia impact yake katika dini is almost wakufanya chochote despite kupoteza resources nyingi ambazo zingeweza kutumika katika mambo mengine yenye manufaa kwa umma.
Once Iran alisema kuwa wao hawana tatizo na ukristo kama dini ila wana tatizo na Zionist (Jewish) ambao wako mstara wa mbele kuupiga vita Uislamu kwa sura ya Ukristo. Mambo yote yanayooendelea sasa kama vita vya Syria Zionist are behind it!!