Bombardear
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 241
- 193
Kwa heshima na taadhima ni maombi yetu/yangu mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kwa mambo yanayoendelea hapa chuoni Korogwe kwani tangu Mkuu wa Chuo aliyekuwepo kupandishwa cheo, kumekuwa na hali ya taharuki upande wa chakula.
Chakula hakieleweki kwani chakula kinachopikwa ni zaidi ya kibovu, pia huduma muhimu ya maji haipatikani pia maji yanatoka sehemu moja, Mkuu wa chuo anapoambiwa anasema yeye amekaimu tu kwahiyo wasubirie Mkuu wa chuo atakayekuja atayashughulikia.
Pia vyoo vimejaa na nyakati za mvua ni mshike mshike.
Mbaya zaidi ni rushwa ya ngono inayoendelea chuoni hapa ikiongozwa na Mr Gunda, Makata na Kabole. Wamekuwa ni vinara kwa kuvujisha mitihani kwa kuwaahidi wanafunzi watafaulishwa mtihani. Kabla ya siku tatu wasichana wanaotembea nao wanakuwa na mitihani yote.
Tumejaribu kupeleka mashtaka kwa mwadili ambaye Makata na yeye ni mnufaika wa mambo hayo. Amekuwa akizungusha mpaka mnakata tamaa.
Tumejaribu kumruka kwenda anayejiita Kaimu Mkuu wa Chuo anatuambia tuvumilie kwani yeye ni Kaimu tu hana mamlaka.
Mamlaka zinazohusika tunaomba mtusaidie.
Chakula hakieleweki kwani chakula kinachopikwa ni zaidi ya kibovu, pia huduma muhimu ya maji haipatikani pia maji yanatoka sehemu moja, Mkuu wa chuo anapoambiwa anasema yeye amekaimu tu kwahiyo wasubirie Mkuu wa chuo atakayekuja atayashughulikia.
Pia vyoo vimejaa na nyakati za mvua ni mshike mshike.
Mbaya zaidi ni rushwa ya ngono inayoendelea chuoni hapa ikiongozwa na Mr Gunda, Makata na Kabole. Wamekuwa ni vinara kwa kuvujisha mitihani kwa kuwaahidi wanafunzi watafaulishwa mtihani. Kabla ya siku tatu wasichana wanaotembea nao wanakuwa na mitihani yote.
Tumejaribu kupeleka mashtaka kwa mwadili ambaye Makata na yeye ni mnufaika wa mambo hayo. Amekuwa akizungusha mpaka mnakata tamaa.
Tumejaribu kumruka kwenda anayejiita Kaimu Mkuu wa Chuo anatuambia tuvumilie kwani yeye ni Kaimu tu hana mamlaka.
Mamlaka zinazohusika tunaomba mtusaidie.