Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Helllo JF....
Nilikuwa na wazo...
Tanzania (serikali) iwe na mtandao unaotoa distant couurses za ufundi...
Ziwe free ku tackle shida ya ajira...
Nimeona course kama Graphic designs, Photography na Film making zinaweza kufundishwa online..
Im sure kuna course nyingi tu za ufundi zainazoweza kutolewa....
Lugha iwe KIswahili kwa ajili ya uelewa na pia kutarget watu wengi zaidi...
Somo la kingereza pia liwepo as free subject anayependa asome...
JF what do you think?
Nilikuwa na wazo...
Tanzania (serikali) iwe na mtandao unaotoa distant couurses za ufundi...
Ziwe free ku tackle shida ya ajira...
Nimeona course kama Graphic designs, Photography na Film making zinaweza kufundishwa online..
Im sure kuna course nyingi tu za ufundi zainazoweza kutolewa....
Lugha iwe KIswahili kwa ajili ya uelewa na pia kutarget watu wengi zaidi...
Somo la kingereza pia liwepo as free subject anayependa asome...
JF what do you think?