Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,886
- 4,283
Niwakati sasa wenye magari wawe makini ili kuwanusuru ndg zetu wajasiriamaliSiku mtu akiwapitia na gari machinga hata 10 walioko pembezoni ya barabara mje hapa kusema ni kazi ya Mungu.
Kazi ya Mungu wakati tumeamua kuwa wapumbavu?