ujenzi holela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mahindi hayaoti mjini

    Kuondoa machinga halafu kuruhusu ujenzi holela wa vibanda vya biashara sio sawa

    Ni kweli Kariakoo ni sehemu ya biashara hilo halina ubishi, lakini ukweli mwingine pia ni makazi na matumizi ya wengi wapitao njia. Embu pita tu pale Kariakoo uone jinsi nyumba zinavyobadilishwa, vichochoro vyote sasa ni viduka, gorofa zinabadilishwa kutoka makazi kuwa maduka kimya kimya...
  2. Aliko Musa

    Jinsi ya kuanza kuwekeza kwenye ardhi na majengo ndani ya miaka miwili (2)

    Kuanza kuwekeza kwenye ardhi na majengo imekuwa ni chanagamoto kubwa kwa wengi. Changamoto hii inasababishwa na kukosa maarifa sahihi na kufanyia kazi maarifa sahihi. Ili uondoe hofu ya kuanza kuwekeza kwenye ardhi na majengo unahitaji kuwa na maarifa sahihi. Maarifa sahihi yatasaidia kuondoa...
  3. Opportunity Cost

    Rais Samia umemuachaje Waziri Lukuvu bila kumtumbua?

    Kongole kwa reshuffle. Nipongeze kwa mabadiliko kidogo ya Baraza la Mawaziri,kuna watu walikuwa mizigo kama Waziri wa Ujenzi na Nishati na umewatumbua. Lakini sasa kuna watu umewaacha Barazani ila ni mizigo mizito,mtu kama Lukuvi na Mkuchika wameshachoka kwa sasa inafaa wapumzishwe...
  4. D

    Serikali itazame ujenzi holela wa vibanda mitaani

    Naomba serikali yetu ya mama Samia ifanye juu chini kuondoa vibanda barabarani. Mji unazidi kuharibika naona wameanza hapo Ilala mtaa wa Uhuru ukuta wa Hospitali ya Amana kuweka vibanda na meza za kudumu.
Back
Top Bottom