Sema ana roho mbaya kama ya JPMUna roho mbaya kama shetani!
TULIA SOMA MARAMBILI KABLA YA KU-COMMENT
90% ya maambukizi ya ukimwi inatokana na kufanya ngono., tena ngono zembe.
Sasa ili watu waache kale kamchezo katamu, nashauri serikali isinunue hizo ARVs kama inavyofanya sasa, maana watu hawaachi ngono zembe kwa kuwa ARVs watapewa BURE.
Hivyo nashauri tusipoteze fedha zetu za maendeleo kuhudumia watu wanao fanya ngono zembe, ili likimkuta ajue dawa za bure hakuna.
Nafikiri hii itasaidia kufanya Watanzania waache zinaa, mtu unajuwa ukipata ngoma basi unapoteza maisha.
*** HII INAFANANA NA YA WANAFUNZI WANAOPATA UJAUZITO. Shangilieni na hili kama kweli nyinyi ni wazalendo***
Ni hayo tu waungwana.
Upo karibu sana kuletewa HIV na Mke wako au yule Malaya wako unayedhania watu hawamjui ndiyo utajua wanaokunywa dawa walipaje??TULIA SOMA MARAMBILI KABLA YA KU-COMMENT
90% ya maambukizi ya ukimwi inatokana na kufanya ngono., tena ngono zembe.
Sasa ili watu waache kale kamchezo katamu, nashauri serikali isinunue hizo ARVs kama inavyofanya sasa, maana watu hawaachi ngono zembe kwa kuwa ARVs watapewa BURE.
Hivyo nashauri tusipoteze fedha zetu za maendeleo kuhudumia watu wanao fanya ngono zembe, ili likimkuta ajue dawa za bure hakuna.
Nafikiri hii itasaidia kufanya Watanzania waache zinaa, mtu unajuwa ukipata ngoma basi unapoteza maisha.
*** HII INAFANANA NA YA WANAFUNZI WANAOPATA UJAUZITO. Shangilieni na hili kama kweli nyinyi ni wazalendo***
Ni hayo tu waungwana.
Hahahah
Ukimsoma mtoa mada btn the line utamwelewa
However, utakuwa ni uamuzi mbovu wa kihistoria wenye massive impact kwenye population na economy
Serikali makini yeyote haitokaa kufikir hivyo....
Mungu mwenyewe atunusuru
Kalianzisha ili Watoto wetu wajali Masomo, wajiepushe na Ngono Zembe". Kazi ya mwanafunzi ni Kusoma Ngono baadaye. Nam support Mkulu. Wanafunzi siyo Wazazi si wajibu wao.Kalianzisha mwenye nyumba kutosomesha wazazi. Hivyo tunamshauri maeneo mengine ya kubana matumuzi. Unapo mzuia binti aliyepata ujauzito asiendelee na masomo ni unyama sana.
Mimba mashuleni zinaletwa na ngono.
Ukimwi unaletwa pia ba ngono 90%.
Lengo wote tuache Ngono, tusihukumu wanafunzi wakike tu wanaopata ujauzito
Ndiyo hapo sasa halafu matatizo yote hayo chanzo kikubwa ni ngono zembe.Mbona wenye ukimwi mnawatetea halafu hawa watoto mnataka wafukuzwe?
Wao nao kosa lao ni kuwa na ukimwi kama ilivyo kwa wanafunzi waliyobakwa na kupata mimba unafikiri kosa lao nini?Ulifikiri kuhusu watoto waliozaliwa na maambukizi?
Wao kosa la ni nini mpaka wasipewe hizi dawa?
Jaribu kumtafakari mtoa mada kwa umakini mkubwa na kitu gani kinachiendelea huko TanzaniaHuyu uwezo wake wa akili utakuwa mdogo sana, tena UKIMWI usiongee ukiwa na mke au mme, yeyote anaweza kukuletea. Omba Mungu usimpate hata ndugu yako.