G 6
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 506
- 234
Suala la mimba hilo mtafute uncle magu ndugu Mimi sihusiki kwa chochote... Ila binadamu tusiwe wepesi Wa kunyoosha vidole na kuhukumu ilhali nasisi pia yanaweza kutupata... Nikiwafikiria kiwango cha intelligence ya wahenga huwa nashindwa kupata majibu.. Kuna msemo mtoto akikunyea kiganjani huwezi kuukata mkonoMkuu kama ni hivyo tuangalie na upande wa hawa watoto. Sio wote wanapata mimba kwa kupenda, wengine wanabakwa, sasa kwa nini adhabu yao iwe kunyima kusoma? Mimba za utotoni ni matokeo matatizo makubwa ndani ya jamii yetu, sasa tunahangaika na matokeo kwa kuyatafutia majibu mepesi, bado hatujajua kiini cha tatizo.
Na huo msamaha unaousema kwa nini usiwe pia kwa hao watoto ambao uwezo wao wa kufikiri na.kufanya iamuzi bado ni mdogo?