Niliwasikia kamati ya bunge ya mambo ya ukimwi ikishauri kwamba Dawa za kuzuia Mimba (P2) Ziuzwe pamoja na condom kama kifurushi!
Lakini utafiti wangu unaonyesha kwamba wanaotumia P2 hununua hizo dawa baada ya kufanya ngono, SIYO KABLA YA NGONO!
Yaani namaanisha ukiona amekuja pharmacy kununua P2 ujue tayali kashapigwa huko!
Hivyo ukimpakifurushi cha P2 na condom ni sawasawa na kazi bure labda akaipulize kama puto!
Nashauri Ili kupunguza maambukizi ya ukimwi serikali fanyeni yafuatayo
1. Tangazeni na onyesheni mmekamata shehena/kontena ya dawa feki za P2, ikiwezekana Piteni madukani kuonesha mzigo tayali upo sokoni, kisha onyesheni madhara ya hizo dawa feki za P2 iwe ni pamoja na kifafa au festura n.k tafteni hata wagonjwa wa kutengeneza waonekane kuwa chanzo ni P2 wahojiwe na media na waseme walikunywa P2
2. Kamateni wale wote wanaofanya biashara ya kunenepesha au kutoa tiba ya kujazia makalio (shepu), sajari kamateni kwa kisu kilekile kama ilivyo madawa ya kulevya kwasababu Hizo SHEPU Zinadanganya na KUCHACHANGIA SANA UMALAYA hasa wa ngono zembe
3.Toeni elimu ya uzazi wa mpango na matumizi sahihi ya kondomu Mara kwa Mara!
Nawahakikishia Watu watarudi kuvaa Condom bila shurti
Lakini utafiti wangu unaonyesha kwamba wanaotumia P2 hununua hizo dawa baada ya kufanya ngono, SIYO KABLA YA NGONO!
Yaani namaanisha ukiona amekuja pharmacy kununua P2 ujue tayali kashapigwa huko!
Hivyo ukimpakifurushi cha P2 na condom ni sawasawa na kazi bure labda akaipulize kama puto!
Nashauri Ili kupunguza maambukizi ya ukimwi serikali fanyeni yafuatayo
1. Tangazeni na onyesheni mmekamata shehena/kontena ya dawa feki za P2, ikiwezekana Piteni madukani kuonesha mzigo tayali upo sokoni, kisha onyesheni madhara ya hizo dawa feki za P2 iwe ni pamoja na kifafa au festura n.k tafteni hata wagonjwa wa kutengeneza waonekane kuwa chanzo ni P2 wahojiwe na media na waseme walikunywa P2
2. Kamateni wale wote wanaofanya biashara ya kunenepesha au kutoa tiba ya kujazia makalio (shepu), sajari kamateni kwa kisu kilekile kama ilivyo madawa ya kulevya kwasababu Hizo SHEPU Zinadanganya na KUCHACHANGIA SANA UMALAYA hasa wa ngono zembe
3.Toeni elimu ya uzazi wa mpango na matumizi sahihi ya kondomu Mara kwa Mara!
Nawahakikishia Watu watarudi kuvaa Condom bila shurti