Expirience yangu ya Kupima UKIMWI baada ya kuangukia pabaya! Tupe uzoefu wako...

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,494
...Ndugu zangu, huu ujana usipokuwa nao makini, kuna mabalaa unayachuma kizembe sana. Miezi minne iliyopita niliangukia kwa binti mmoja jirani. She is cute, na mstaarabu kweli. Basi tukaplan kuanza sex! Mie c mtu wa mambo haya sana, so nilitaka tu kuupa mwili furaha.

Tulipofika eneo la tukio sikukumbuka kipimo wala mpira...tukapiga mechi saafi, 3 goals were ok, tena peku.

Baada ya wiki kadhaa tukarudia, mpaka mara nne.

TAHAMAKI
Siku moja akanistua kwa mcg kua kuna kitu anataka tuongee uso kwa uso, binafsi nikajua anataka show. Tukaplan tukakutana. Nilipojaribu kutaka ile pre-match akakataa kbs. Akaanza kulia na kuniambia kuwa Mama ake alimzaa akiwa na HIV so na yeye japo hajawahi kupima anahisi ana HIV. Asee ule mshituko niloupata, ni wa Ukanda wa Gaza. Nikamuuliza ka anatumia dawa, akakataa. Basi nikamlaumu weee, tukaachana nikiwa nimevurugwa. Kwa mstuko ule sikukumbuka kumpima ili kujua status yake pia!

Kupima sikutaka kabisa. Nikaanza kupata stress, mara homa, mara sijielewi. Nikapungua 3 kgs fasta. Nikaona haya mateso yataniua...

SIKU YA KUPIMA
Siku moja nikaamua kupima, maana before nilipima magonjwa mengine nikakuta nina Malaria, nikaitibu ikaisha, ikaja Typhoid nayo nikaitibu. Kuna zile stress, ukisikia mtu anataja tu UKIMWI asee unavurugwa. Nikaamua nipime niwe huru.

Nilienda hosp tena kwa vipimo advanced. Thanks God nikakuta nipo ok. Nilikaa like 3 months ndo nikapima. Ile miez 3 before asee niliteseka sana...

USHAURI
Guys UKIMWI ni hatari. Unakutesa kisaikolojia. Tunachukulia poa ila sio. Unawezasema unatumia Condom ila zile pre-match unakuta mnanyonyana mpk ute unameza. Siku hz kuna watu wananyonya mpk njia za haja kubwa....hapo hata ukivaa ndom trust me ni kazi bure. Tupime, tuache ngono zembe. Mapenzi matamu, lakini ukipata Ngoma inatesa sana saikolojia.

Kingine: NEVER GOOGLE YOUR SYMPTOMS. Nenda hosp, pima na chukua hatua. The early, the better.

Now I am ok na Nimeongeza discipline ktk maisha ya ujana!

Barikiwa
 
Utakuwa tayari kupokea majibu yoyote yaani positive ama negative ndiyoo, mtaje ndugu yako wa Karibu na namba yake
ha ha haaaa....hizo swaga za CTC tu. Ukiona huko ni michoro unanunua bioline unajipima room, unalia kivyako!
 
Mara ya mwisho nilivyoenda kupima ,nilikimbia majibu napima halfu naenda nje kupokea simu halafu huyoooo sirudiii
Nilifanya kama mara 3 hivi
 
...Ndugu zangu, huu ujana usipokuwa nao makini, kuna mabalaa unayachuma kizembe sana. Miezi minne iliyopita niliangukia kwa binti mmoja jirani. She is cute, na mstaarabu kweli. Basi tukaplan kuanza sex! Mie c mtu wa mambo haya sana, so nilitaka tu kuupa mwili furaha.

Tulipofika eneo la tukio sikukumbuka kipimo wala mpira...tukapiga mechi saafi, 3 goals were ok, tena peku.

Baada ya wiki kadhaa tukarudia, mpaka mara nne.

TAHAMAKI
Siku moja akanistua kwa mcg kua kuna kitu anataka tuongee uso kwa uso, binafsi nikajua anataka show. Tukaplan tukakutana. Nilipojaribu kutaka ile pre-match akakataa kbs. Akaanza kulia na kuniambia kuwa Mama ake alimzaa akiwa na HIV so na yeye japo hajawahi kupima anahisi ana HIV. Asee ule mshituko niloupata, ni wa Ukanda wa Gaza. Nikamuuliza ka anatumia dawa, akakataa. Basi nikamlaumu weee, tukaachana nikiwa nimevurugwa. Kwa mstuko ule sikukumbuka kumpima ili kujua status yake pia!

Kupima sikutaka kabisa. Nikaanza kupata stress, mara homa, mara sijielewi. Nikapungua 3 kgs fasta. Nikaona haya mateso yataniua...

SIKU YA KUPIMA
Siku moja nikaamua kupima, maana before nilipima magonjwa mengine nikakuta nina Malaria, nikaitibu ikaisha, ikaja Typhoid nayo nikaitibu. Kuna zile stress, ukisikia mtu anataja tu UKIMWI asee unavurugwa. Nikaamua nipime niwe huru.

Nilienda hosp tena kwa vipimo advanced. Thanks God nikakuta nipo ok. Nilikaa like 3 months ndo nikapima. Ile miez 3 before asee niliteseka sana...

USHAURI
Guys UKIMWI ni hatari. Unakutesa kisaikolojia. Tunachukulia poa ila sio. Unawezasema unatumia Condom ila zile pre-match unakuta mnanyonyana mpk ute unameza. Siku hz kuna watu wananyonya mpk njia za haja kubwa....hapo hata ukivaa ndom trust me ni kazi bure. Tupime, tuache ngono zembe. Mapenzi matamu, lakini ukipata Ngoma inatesa sana saikolojia.

Kingine: NEVER GOOGLE YOUR SYMPTOMS. Nenda hosp, pima na chukua hatua. The early, the better.

Now I am ok na Nimeongeza discipline ktk maisha ya ujana!

Barikiwa

Sasa mwanangu baada ya ww kuwa ok mbona umemsahau tena uyo dem kumshauri nayeye akapime ajitoe kwenye kifungo cha mateso ya kisaikolojia? Umejiangalia wewe tuu masta.
 
Ndiyo tutulie sasa,huu ugonjwa watu wanajikaza tu lakini siyo....eti tunakunywa Dawa na tunadunda tu...wee,wapiii😈 Ukimwi nafuu kuliko kisukari...wee,wapii😎....ngoma ni ngoma tu
 
Ndiyo tutulie sasa,huu ugonjwa watu wanajikaza tu lakini siyo....eti tunakunywa Dawa na tunadunda tu...wee,wapiii Ukimwi nafuu kuliko kisukari...wee,wapii....ngoma ni ngoma tu
ngoma noma asee. Kwanza inakuua kisaikolojia, halafu unajikuta tu udhaifu haukati...

Ikishaingia hata uzuge vipi bado inakutesa tuu!

Yaani hata usipoupata kwa zinaa bado unakua unajistukia kila upitapo.

Tuzitulize tu tamaa zetu!
 
ngoma noma asee. Kwanza inakuua kisaikolojia, halafu unajikuta tu udhaifu haukati...

Ikishaingia hata uzuge vipi bado inakutesa tuu!

Yaani hata usipoupata kwa zinaa bado unakua unajistukia kila upitapo.

Tuzitulize tu tamaa zetu!
Hakika
%100
 
Asee ka umeshindwa kabisa kutumia zana, mpime mwenzio kabla ya ligi. Ujihakikishie kwanza usalama
Hii kitu ndio imepelekea vijana kuungua.
Kisayansi mtu anaweza kuambukizwa HIV leo, na wiki kadhaa mbele akipimwa bado akaonekana negative lakini wakati huo huo anaweza kuambukiza wengine tena kwa kiwango kikubwa kupita hata mtu ambaye tayari ni Positive.
 
Ogopa mno mtu anayepimwa na majibu ya papo hapo yakasema Negative. Mtu huyo anaweza kuwa tayari kaungua lakini kipimo hakijafikia level ya kupick positive, huyo ukigusa tu, umekwenda. Ni gridi ya taifa.
 
Mkuu bidada kakataa katakata kupima. Anasema kazoea kuishi hivyo....now yupo kwa himaya ingine, nimemuacha na maisha yake. Kama anasoma hapa namshauri tu afanye ka nilivyofanya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom