Serikali ipo katika mchakato kuhakikisha mahabusu wanafanya kazi magerezani kama wafungwa

Other countries detention centres are under prosecutors and not prison( correction) services
Kazi ya suspect ni kushtakiwa yaan kuhojiwa na si kutumikishwa kama sehemu ya adhabu au kukosa kazi ya kufanya wakiwa detained

Watalazimisha
Hapo wakishinda kesi itabidi waishtaki serikali kwa kuwatumikisha bila kosa,au unashurije kiongozi?
 
Basi una Kila sababu ya kuomba kutofanya kazi kwani huwategemei kwa chakula,japo wanaweza kukukomalia kwamba unatumia umeme na magodoro yaoooo😁😁😁😁😁😁😁😆hawashindwiii
Umeme huo unakutana nao wapi,au Hilo godoro mswahili anaupendo gani Hadi akupe godoro.Ukiweza toka salama jela za bongo utoshindwa ishi kuzimu.
Ukiweza ishi jela za Africa kuzimu ni paradiso
 
Kwani mimi nimesema wakae nyumbani ?
Sasa mnalalamika Nini wakifanya kazi za mikono? Maana hawawezi pelekwa kufanya kazi nje ya gereza sababu kiusalama si sawa na hujui hikumu yake ni miaka mingapi,wametoa wazo zuri tu sisi tunalalamiiiiiiika
 
Sasa mnalalamika Nini wakifanya kazi za mikono? Maana hawawezi pelekwa kufanya kazi nje ya gereza sababu kiusalama si sawa na hujui hikumu yake ni miaka mingapi,wametoa wazo zuri tu sisi tunalalamiiiiiiika

Mahabusu ni watuhumiwa bado hawajahukumiwa. Ni kinyume kwa serikali inayotakiwa kufuata sheria kumhukumu mtuhumiwa kabla ya hata Mahakama kutoa hukumu.
 
Mahabusu ni watuhumiwa bado hawajahukumiwa. Ni kinyume kwa serikali inayotakiwa kufuata sheria kumhukumu mtuhumiwa kabla ya hata Mahakama kutoa hukumu.
Kufanya kazi gerezani ndio hukumu pekee? Anaye hukumiwa kunyongwa anafanya kazi gani? Swala la kufanya kazi ni lingine na hukumu ya kesi yake ni swala jingine,kikubwa waziri aangalie Kama hajavunja katiba basi wafanye tu ila Kama Kuna mwanya wowote wa ujunjifu wa haki basi ni tatizo kwa serikari
 
MKUU,,, tembea duniani uone...pia usifikiri JELA NI KWA HAO WALIOFUNGWA PEKE YAO,,..jela ni kama hospital ,,haina mwenyewe ,,hata wewe unaweza ukaingia siku moja,,kwa njia moja au NYINGINE,,,.KUFUNGWA sio mateso,,,KUFUNGWA ni kunyimwa Uhuru ,,,,hivi hao wanaolipa wafungwa magerezani,,,unadhani wlifikiria nn?Africa bado tuna safari ndefu sana,,,hivi umlimishe mwenzio ,,apasue Mawe,, APASUE KUNI,,,,,afanye kazi ngumu usimpe sent tano? DUU....Kweli jela za ulaya ni hotel ya nyota tano Africa.....yaani MTU anatoka povu kabisa kutetea mateso ya wafungwa Africa....swiss kila mfungwa analipwa euro 300. kwa mwezi,,,.bila kufanya kazi,,,France mfungwa analipwa euro 20 kila mwezi bila kufanya kazi,,,wanafanya kazi kulipwa euro 8 kwa saa.,..mwezi mzima unapewa euro 280..inaingizwa kwenye ACC yako ya jela,,na ukitaka kutumia, humo ndani ,au kutuma nyumbani wana kusaidia kuituma kwa family yako,,wanajuwa wewe ni mfungwa lakini bado kuna family inakutegemea,,,..ulaya karibu yote watu wanaliipwa,,,chumba TV,, fridge,,unapika mwenyewe,,,choo chako,,unasoma shule,,,unakwenda gym,,unakwenda library,,,na hata MKEO mnapewa nafasi unagegeda,,,unadhani walifikiria nn?WENZETU wanachoangalia ni muda wako mfungwa kuuminya,,sio kutesana,,,KUMBE AFRICA JELA NI KUKOMOLEWA NA SIO KUCHUKUWA MUDA WAKO... Africa ndy sehem PEKEE mfungwa analawitiwa kisa KIPISI CHA SIGARA,,Africa ndy sehem PEKEE mfungwa analawitiwa kisa maji ya kuoaga,,hivi hata vitu vya muhimu kama BINADAMU pia watu hawapewi ?,WENZETU wanawapa pesa wafungwa waweze kujikimu na maisha ya ndani,,,na life after prison,,hivi mfungwa umfunge miaka 10 mfano akitoka ataanzaje maisha? ni lazima arudi kuwa muhalifu,,,wenzetu wanaandaliwa mazingira ya maisha baada ya JELA,, maana wanafanya kazi,,,wanawekewa pesa zao wakitoka wanapata pa kuanzia,, KUMBE WAAFRICA WATESI NI SISI WENYEWE....inasikitisha sn..
Baba yako akipigwa risasi Kisha aliye mpiga akahukumiwa alafu akaanza kulipwa bado utalalama kuwa serikali inafedha za kuchezea hadi inalipa wahalifu Kisha jobless watajaa magerezani muanze kulaumu mtaani hakuna vijana,Kila kitu mnakosoa kosoa tu,mahabusu hawawezi fanya kazi za mikono ndani ya gereza? Hata kufundishwa kushona cherehani? Kupika kuosha vyombo? Mbona mnakuwa wepesi kuilaumu serikali wakati uhalifu ukizidi mtaani mnalialia?
 
Sasa mnalalamika Nini wakifanya kazi za mikono? Maana hawawezi pelekwa kufanya kazi nje ya gereza sababu kiusalama si sawa na hujui hikumu yake ni miaka mingapi,wametoa wazo zuri tu sisi tunalalamiiiiiiika
Huna akili, ungekuwa walau ulishawahi hata kuwa mtuhumiwa wa ugoni ungejua tunachokipinga
 
Wajinga hawa kama wameshindwa kuwahudumia basi wapeni dhamana wahudhurie kesi kutoka nyumbani. Huu ukichaa_kichaa uliosemwa , kumbe ni kweli aisee!
 
Back
Top Bottom