Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 785
- 2,064
hata madukani pia hali ni hiyohiyo..kuna siku nilienda k/koo nikachukua mzigo wa milioni 2 na usheee..sasa wkt wa kuandika risiti mwenye duka akaniandikia milioni 1 neti..nilimkomalia ikabd achane aandike ya bei halisi