Isengelo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 476
- 746
Habari wana jamvi,
Kwa hii hali ya kukosekana kwa umeme, hakuna shughuli yoyote ya uzalishaji unao endelea kwenye biashara zinazotegemea umeme, hiì itasababisha ugumu katika ulipaji wa kodi.
Je, selikali inalifahamu hili? Na inachukua hatua zipi ili kodi iendelee kukusanywa?
Kwa mfano sehemu nilipo umeme unawaka mara mbili kwa wiki.
Naiomba Serikali iliangalie suala hili kwa umakini vinginevyo uchumi wa nchi unakwenda kudorora na umasikini utatamalaki kwa raia
Kwa hii hali ya kukosekana kwa umeme, hakuna shughuli yoyote ya uzalishaji unao endelea kwenye biashara zinazotegemea umeme, hiì itasababisha ugumu katika ulipaji wa kodi.
Je, selikali inalifahamu hili? Na inachukua hatua zipi ili kodi iendelee kukusanywa?
Kwa mfano sehemu nilipo umeme unawaka mara mbili kwa wiki.
Naiomba Serikali iliangalie suala hili kwa umakini vinginevyo uchumi wa nchi unakwenda kudorora na umasikini utatamalaki kwa raia