Zuella zuu
Senior Member
- Jan 1, 2026
- 150
- 261
Hizi sarafu zilivyopotea mitaani serikali ina lengo gani?
Kwamba ndio tuanze kutumia mia tano kama sarafu ndogo kuliko?
Na kama ikiwa hivyo vipi kuhusu pesa yetu inapoelekea?
Wataalam naombeni mnifafanulie tafadhali
Kwamba ndio tuanze kutumia mia tano kama sarafu ndogo kuliko?
Na kama ikiwa hivyo vipi kuhusu pesa yetu inapoelekea?
Wataalam naombeni mnifafanulie tafadhali