Serikali Impe Ulinzi Said Bahanuzi!

Serikali Impe Ulinzi Said Bahanuzi!

Apewe tiketi ya Rwandair arudi kwao huyo mtutsi
 
attachment.php
 
Hahahaha
n vigumu kwa yanga kuifikia rekodi ya SIMBA

dawa ya arabuni anayo mnyama pekee
 
Jamani TUACHE UTANI KWENYE MAMBO YA MUHIMU. KUNA WATU WANAHASIRA NA BAHANUZI BALAA KWA KUKOSA PENALTY JANA.WANAWEZA KUMDHURU JAMAA KWA HIYO SERIKALI INA JUKUMU LA KULINDA WANANCHI WAKE!! NATOA HOJA.

Tukisikia amedhurika TUTAANZA NA WEWE .
 
Naoma m/kit wa bunge la ktb ana waandalia mwaliko kwenda bungeni wapongezwe kwa kushinwa kwa penalt
 
Jamani TUACHE UTANI KWENYE MAMBO YA MUHIMU. KUNA WATU WANAHASIRA NA BAHANUZI BALAA KWA KUKOSA PENALTY JANA.WANAWEZA KUMDHURU JAMAA KWA HIYO SERIKALI INA JUKUMU LA KULINDA WANANCHI WAKE!! NATOA HOJA.
Ulinzi wa kazi gani? Kwani hujui Yebo yebo/Kandambili haijawahi kuvunja record ya mnyama/Simba ya kumtoa Mwarabu? Hata Bahanuzi anajua ndio maana hakuhangaika kufunga ile penalt.
 
Huyu mtoa mada hili jina halitendei haki kabisa. Bora angejiita Huihui.
 
huyu mtoa mada hili jina halitendei haki kabisa. Bora angejiita huihui.

huihui ndo nani mkuu!! Mrudishe viti mlivyong'oa kule kwani govt wanataka kuufungia uwanja kisa simba.
 
Bora Yanga wametolewa. Walijidai sana kushinda eti 7 kwa bila Timu ilikiwa kibonde tu.
 
asamoah alikosa,terry alikosa tena wote katika mechi muhimu.

Ni kweli mkuu, nakumbuka David Mwakalebela na Chibe Chibindu walikosa penalty muhimu kama hii tena fanali zidi ya Simba na tukapoteza mechi lkn tulichukulia kawaida tu iweje kwa Bahanuzi iwe nongwa? Watanzania ni wastaarabu ingekuwa hivyo wangeanza Simba kumkimbiza msomali anayesababisha timu ikibahatisha droo na Prison ishangilie.
 
Watanzania inabidi tubadilike, mbona washabiki wa Chelsea hawajawahi kumdhuru John Terry licha ya kukosa penati muhimu dhidi ya Man Utd Uefa 2008
 
ndo mana mimi sipendi kucheza mpira, tangu nione yule mchezaji wa Colombia (Eskoba) ameuawa kisa tu kajifunga kwenye kombe la dunia, sitaki kifo cha kijinga.

Yani ni bora niende kuandamana na CDM ili polisi waniue kwa risasi au bomu kuliko kuuliwa na mashabiki wenye hasira

Duh! Hii kali.maandamano lini tena mkuu maana ninasiku nyingi sijakinukisha na maafande.
 
Haaahaa mkuu mimi si kandambili si unaona kina Amavubi,Jabulani walivyokuwa na hasira naye. Eti wanasema sio raia

Acha kujikosha. Hata kama si kandambili coz waweza pitia hapohapo kummaliza mshkaj.cha msingi hao wenye hasira nae wasilisha malalamiko mahala husika.
 
Back
Top Bottom