Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Jamani TUACHE UTANI KWENYE MAMBO YA MUHIMU. KUNA WATU WANAHASIRA NA BAHANUZI BALAA KWA KUKOSA PENALTY JANA.WANAWEZA KUMDHURU JAMAA KWA HIYO SERIKALI INA JUKUMU LA KULINDA WANANCHI WAKE!! NATOA HOJA.
hao watakuwa wajinga tu,kwan n yeye peke yake aliyekosa penati?kwann wasiwadhuru wale waliosababisha mpaka wakafika penati ya sita?wanaofikiria hayo ni wajinga wanywa viroba