Serikali Imewekwa Mfukoni na Kampuni ya Multichoice!

Sawa kabisa Mkuu, ila haionekani kama wana nia hiyo Na TCRA inaonekana kwa DSTV hawana meno

Mkuu, kwani biashara si ni huria, TCRA wafanye nini while DSTV wanapata wateja? kama kungekua hakuna alternative then TCRA wangelaumika hapa, kama vipi we toka tu mwenyewe na jiunge na wengine, isije ikawa wengine wapo DSTV kwasababu ya kuosha jina mtaani kwamba wanamiliki TV za bei mbaya, hawa ndio ambao TCRA waki implement hizo sheria mnazo taka watakuja na kupiga kelele, mi nashauri, we HAMIA TU Airtel basi!
 
Hakuna cha biashara huria mbona dezeli na petroli zinapangiwa bei huo ni mradi wa waheshimiwa hamuuwezi ww toka tu tafuta maarifa mengine kwanza kwa mishemishe za maisha ya siku hizi una masaa mangapi ya kukaa mbele ya tv? kama unawawekea familia jua mda wote wapo kwenye channel za nyumbani wanaangalia bongo fleva na komed
 
Kwa maana ya ubora na value bado hao star-times and etal bado wananjunga na wako kichina/asia zaidi. Ila DSTV wanapackage tofauti manake ukitaka super sports lazima utalipa zaidi mazee na lazima ufanye uchaguzi sahihi unaweza pata hiyo huduma bar kwa bei poa usiforce sana.

Starehe siku zote inagharama ukitaka kula lazima uliwe.
 
Mkuu, kwani biashara si ni huria, TCRA wafanye nini while DSTV wanapata wateja? kama kungekua hakuna alternative then TCRA wangelaumika hapa, kama vipi we toka tu mwenyewe na jiunge na wengine, isije ikawa wengine wapo DSTV kwasababu ya kuosha jina mtaani kwamba wanamiliki TV za bei mbaya, hawa ndio ambao TCRA waki implement hizo sheria mnazo taka watakuja na kupiga kelele, mi nashauri, we HAMIA TU Airtel basi!

Mkuu nami niko kwenye mikakati ya kuhama. Lakini huu ni wizi na tusiukalie kimya kwa sababu tunaweza kuhama.
 
sasa na mimi nisiyekuwa na DSTV wala Zuku na hivyo vin'gamuzi vingine....just moved house and I'm kind of thinking to buy one of them ...my question is..Will I be able to view DSTV channels without having the so called ungo or i have to negotiate on their terms and conditions? I'm finding it a bit hard to understand how it is going to work...another thing is...why do they charge people into foreign currency rather than local currency..Jamani serekali hawalioni hilo? sio wao tu though ..kuna maduka kibao mjini wanacharge kwa dollar. However, i'm not real blaming them...it is simply our fault.
 
sasa na mimi nisiyekuwa na DSTV wala Zuku na hivyo vin'gamuzi vingine....just moved house and I'm kind of thinking to buy one of them ...my question is..Will I be able to view DSTV channels without having the so called ungo or i have to negotiate on their terms and conditions? I'm finding it a bit hard to understand how it is going to work...another thing is...why do they charge people into foreign currency rather than local currency..Jamani serekali hawalioni hilo? sio wao tu though ..kuna maduka kibao mjini wanacharge kwa dollar. However, i'm not real blaming them...it is simply our fault.

Mkuu, ni ukweli usiopingika DSTV wana Chanel ambazo ni quality. The problem is their charges; they have the most exorbitant charges ever! Premium payment ni kadri ya 120,000 kwa mwezi. Unaweza kupata package nyingine bei chini kidogo lakini kwenye hizo Chanel huwezi kupata hata BBC!

Hata hivyo ukweli ni kwamba hivi viwango Hawawezi kuvi charge hata ulaya isipokuwa tu hapa bongoland ambapo watu wengi wamelala Na hata serikali imelala Na haijihusishi na maslahi au haki za raia wake

Hizi tv zingine nasikia quality Yao si nzuri sana. Na nasikia DSTV wamewakataza wasitangaze ligi za Spain Na England. Wanadai wana haki miliki!
 
Kwa maana ya ubora na value bado hao star-times and etal bado wananjunga na wako kichina/asia zaidi. Ila DSTV wanapackage tofauti manake ukitaka super sports lazima utalipa zaidi mazee na lazima ufanye uchaguzi sahihi unaweza pata hiyo huduma bar kwa bei poa usiforce sana.

Starehe siku zote inagharama ukitaka kula lazima uliwe.

Ni kweli Mkuu, DSTV wana ubora. lakini ubora ndio unahalalisha Wizi?

Ukweli ni kwamba gharama za kulipia DSTV sio realistic Na ukizindatia vipato vya watanzania hata watu Wa middle class!
 
Mimi kulipia DStv yangu ni mwezi December tu kila mwaka kwa ajili ya holidays..miezi mengine hawanipati ng'o!
 
Ndugu wanabodi nashangazwa sana kwa msimamo wa kampuni ya Multichoice ambayo inatoa huduma ya kuonyesha chanel za TV za digitali nchini kwa kupitia DSTV.

Kampuni hii haijaonyesha nia au tuseme imekataa kuweka chanel za kitaifa za hapa nyumbani ambazo ndizo zinatupa habari za hapa nyumbani.

Nashangazwa sana na msimamo huu pamoja na ukimya wa serikali hasa kupitia TCRA na wizara husika ambao ndio wanapaswa kulinda maslahi ya wananchi wake.

Inavyoelekea baadhi ya viongozi wa serikali wana maslahi binafsi kwenye kampuni hii. Iweje kampuni zingine kama Star time na Zuku waweze kuingiza chanel zetu za kitaifa kama ITV na Star Tv kwenye bundle zao lakini DSTV wakatae? Hakuna mantiki yoyote ya kutoziingiza hizi chanel kwani ni chanel ambazo si za kulipia.

Hii ina maana watu tulio na DSTV baada ya tarehe 31 mwezi huu hatutaweza kuona chanel zetu labda kama utanunua king'amuzi kingine ambacho nacho uwe unakilipia. Na kama TV yako haiwezi kuchukua ving'amuzi viwili basi itakubidi ununue TV nyingine! Au uondoe deki nk

Pia ingawa hawa jamaa wanatoa huduma kibiashara lakini bei zao ni kubwa mno tofauti hata ukiwa huko kwao SA na hata huwezi ukalinganisha na watu wanavyotozwa huko ulaya au marekani ambako wao ndio wenye kipato kikubwa. Huduma za TV ni chanzo cha taarifa na elimu (information & education) kwa karne hii kama ilivyo simu za mkononi si anasa tena Bali ni huduma muhimu kwa wananchi.

Pamoja na kwamba hawa Multichoice wana miaka 15 wakitoa hii huduma ya DSTV na sasa hivi wana wateja wengi ambapo ingewezekana kupunguza bei kwa kiwango kikubwa lakini bei zao zimebaki kuwa za kiwizi. Sasa hivi wanatudanganya kwa kupunguza asilimia 10!

Pamoja na kwamba kujiunga na DSTV ni hiari kama ilivyo kujiunga na makampuni ya simu za mkononi hii haihalalishi wizi kwa mteja na kichwa ngumu kukataa kuingiza TV zetu za kitaifa za kitanzania na serikali yetu ikiwaangalia na kuendelea kutoza gharama ya wastani wa 120,000 kwa mwezi ambayo ni sawa na elfu 4 kwa siku!

Tuombe Mungu ije Fast Jet nyingine katika ving'amuzi watapoa tu kama ilivyokuwa kabla G TV haijafikwa na mauti
 
Mkuu, nakushauri achana nao if your less satisfied with their service.
120,000 * 12 = 1,440,000/=
STAREHE GHARAMA.
 
Mkuu, nakushauri achana nao if your less satisfied with their service.
120,000 * 12 = 1,440,000/=
STAREHE GHARAMA.

Mkuu, tv si starehe, ni necessity!

Ndio maana inabidi kwa njia yoyote tuwawekee ngumu pamoja na kuishinikiza TCRA wapunguze bei.

Of course njia nyingine ni kupata mshindani mwenye quality ya tv kama DSTV. Lakini hawa nasikia wana hati miliki kutoka serikali hii ya tv station wanazozirusha! Sijui walipataje kwa mfano hati miliki ya kurusha CNN Na wengine wote kukatazwa. Au ndio mikataba ya kifisadi!
 
Wakuu ni kweli kwamba Dstv ni expensive( ila ni kwa anayetaka na si lazima) ila hivi tatizo ni Dstv au mamlaka za nchi hii? Hapa bongo gharama za cmu ni kubwa sana na bado hayo makampun ya cmu yanachangia kiduchu kwenye pato la taifa, the same goes to sekta ya madini, bandari na takataka nyingine za kutosha.

Tujiulize,hivi ni kwa nini nchi zisizo na bandari(land locked countries kama Zambia,Rwanda,Uganda) na nyingine zinatumia bandari yetu kwa kiasi kikubwa kupitishia bidhaa zake (kama Zambia) zinakua na bei nafuu katika hizo bidhaa kuliko hapa zilikopitia?

Hivi tatizo ni Dstv au mamlaka zetu? Kama huko kwingine mnakosema (kama South Africa) kwamba Dstv ni affordable kuliko hapa then tatizo si Dstv ila ni mamlaka zetu.

Personally, Dstv wako poa sana hata customer servise yao ni bomba probably kuliko makampun mengi yaliyopo bongo na hii PVR decoder ni noma mazee, inaipa uhai TV!
 
nyiue watu nyie TBC iko DSTV free of charge tena serekali ndio ili walazimisha kwamba TV ya taifa ni sharti iwe bure haya ni maelezo kwa mujibu wa TCRA wenyewe,swala la private TV station kama itv,channel 10 star tv ni ziwepo DSTV sio swala la TCRA hilo ni swala la kibiashara kati ya wamiliki wa vyombo hvi na DSTV ingekuwa itv ni tv ya taifa nayo unge iona DSTV,so kama mtu una taka itv DSTV nenda kaonge na mzee Mengi wafanye makubaliano na dstv wajuane watakatana shilling ngapi kujumlisha itv katika list zao.pia ikumbukwe DSTV ime pewa leseni ya kibiashara hawawezi tu amua kuweka channel za mfanya biashara mwingine kwa bure kwenye channel zao.swala la dollar nadhni ndilo la kulipigia kelele
 
Wakuu ni kweli kwamba Dstv ni expensive( ila ni kwa anayetaka na si lazima) ila hivi tatizo ni Dstv au mamlaka za nchi hii? Hapa bongo gharama za cmu ni kubwa sana na bado hayo makampun ya cmu yanachangia kiduchu kwenye pato la taifa, the same goes to sekta ya madini, bandari na takataka nyingine za kutosha.

Tujiulize,hivi ni kwa nini nchi zisizo na bandari(land locked countries kama Zambia,Rwanda,Uganda) na nyingine zinatumia bandari yetu kwa kiasi kikubwa kupitishia bidhaa zake (kama Zambia) zinakua na bei nafuu katika hizo bidhaa kuliko hapa zilikopitia?

Hivi tatizo ni Dstv au mamlaka zetu? Kama huko kwingine mnakosema (kama South Africa) kwamba Dstv ni affordable kuliko hapa then tatizo si Dstv ila ni mamlaka zetu.

Personally, Dstv wako poa sana hata customer servise yao ni bomba probably kuliko makampun mengi yaliyopo bongo na hii PVR decoder ni noma mazee, inaipa uhai TV!

Mkuu wazo lako la kwamba tatizo ni mamlaka zetu ni sahihi. Mimi nachukulia tatizo la mamlaka ni moja kati ya matatizo.

Hata hivyo Nadhani kwamba hata DSTV nao ni kikwazo hasa kwenye kupanga bei ambapo bei zao ni za kiwizi.
Pia ni tatizo kwa sababu wame take advantage hadi kufikia kupiga marufuku watu wengine kurusha Chanel wanazozirusha wao!

Bei zao, hasa malipo kwa mwezi yako juu sana. Watu wengine wanasema ni kwa sababu ni biashara huria Na mtu Ana hiari ya kulipia apate huduma Au aache. Lakini kwa mtazamo wangu Sasa hivi information ni kitu cha lazima kama ilivyo simu. Na pia Kama ni biashara huria Multichoice haina uhalali Wa kupewa monopoly (exclusive right) ya kurusha matangazo ya tv zinazoonekana katika Chanel zinazorushwa Na DSTV kama vile BBC, CNN, nk
 
Back
Top Bottom