Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Sawa kabisa Mkuu, ila haionekani kama wana nia hiyo Na TCRA inaonekana kwa DSTV hawana meno
Mkuu, kwani biashara si ni huria, TCRA wafanye nini while DSTV wanapata wateja? kama kungekua hakuna alternative then TCRA wangelaumika hapa, kama vipi we toka tu mwenyewe na jiunge na wengine, isije ikawa wengine wapo DSTV kwasababu ya kuosha jina mtaani kwamba wanamiliki TV za bei mbaya, hawa ndio ambao TCRA waki implement hizo sheria mnazo taka watakuja na kupiga kelele, mi nashauri, we HAMIA TU Airtel basi!