- Thread starter
- #101
TV zipi za kitaifa zaidi ya TBCCM?
Ni kweli tuna tv moja YA TAIFA TBC ambayo ndio imeshachukuliwa na CCM. Ila tuna tv ZA KITAIFA ambazo pia watanzania wanazipata free kama ITV Na StarTV.
TV zipi za kitaifa zaidi ya TBCCM?
Nafikiri kuna mambo inabidi tuwekane sawa kidogo.
Kwa uelewa wangu. DSTV hawahusiki na kulazimishwa kuweka channel local kwenye decoder zao. Ni vituo vinavyorusha matangazo yao toka ardhini (terrestrial) ndiyo wanawajibika kuweka local channels.
Punguzo la kodi kwenye decoder haliwahusu DSTV , ni decoder za kutumia antenna za kawaida siyo madish
Serikali iliongeza kodi kwa watumiaji wa DSTV, ni vizuri tukajua kama illiwahi kupunguzwa. I doubt.
Kuhusu umiliki wa vipindi kama ligi za ulaya, naamini DSTV wanapata haki hizo kwa waandaaji na siyo serikali.
Pamoja na yote hayo bado naona kama bei yao iko juu sana, na kama wao hizo juu ni sababu wanazoweza kuja nazo lakini la msingi ni kukosekana kwa ushindani.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Jirani zetu wakenya kuna chanel zaidi ya nne zinazorushwa na DSTV kwanini nasisi isiwe hivyo? hao startime ni wazushi tu sehemu za vijijini na mawilayani ambako hawaja weka minala tutawapataje inamaana tutanyimwa haki yetu ya msingi
......The rich also cry!
Nielimishe abudhabi sports unaipataje?Mi nimefunga zangu easy tv for local channels na nafunga abudhabi sports soon kwa ajili ya mpira.. Nimeshawachoka multichoice na ufisadi wao
Nielimishe abudhabi sports unaipataje?
......The rich also cry!
Nimefunga abudhabi sports jana mchana nimefungiwa na jamaa mmoja anaitwa mudi white.. maarufu sana kariakoo msimbazi maduka yaliyopo underground yanayouza tv na madish
Niliunganishiwa na jamaa mmoja pale udsm.. Kwa mtu yeyote anaetaka abudhabi sports aende pale chuo udsm kwenye mgahawa wa Tuki atapata maelekezo yote as mudi anahusika pia na huo mgahawa..
Mechi za leo za ligi uingereza nimeangalia kupitia abudhabi sports through sky sports hd 1, hd 2 na hd 3 na zinginezo.. Pia kuna access ya NBA via espn na television kibao za movie.. Abudhabi sports ina television za michezo 43 zinazoonesha ligi mbali mbali duniani za michezo yote.. Bei ya vifaa pamoja na installation ni lak 8 jumla ukijumlisha na bili ya mwaka mzima.. Baada ya mwaka kuisha per year utalipia usd 100 online au through bank transfers... Na pia tv nyingi ni high definition na decoder zake za humax hd zinarecord na ku rewind match kama pvr decoder za dstv...
Nimeshaiaga dstv bye bye toka 2012 mwaka huu mpya ni mwendo wa abudhabi sports tu