Serikali Imewekwa Mfukoni na Kampuni ya Multichoice!

yap inasikitisha ktk suala la kutoweka channel za apa nchini ni tbc1 tu ndio wameweka lakini zingine zilizobaki hazipo cjui kama wanasababu ya msingi lakini huu ndio ungekua mda muafaka kwa msemaji wao akaweka kinagaubaga!!! kuhusu suala la bei cwez laumu kwani ni soko huria labda na ni kwa vile channel wanazoonyesha pia ni za bei kubwa kama supersports nk

inasikitisha kwa kweli kwani inabidi sasa tuwe na vingamuzi viwili ili uweze pata na channel za apa nyumban
 
Soko huria baba kila mtu ana-target wateja wake. Ukiona kero uje huko sio kwako rudi kwako
 
Hii Abu Dhabi sports inaonekana kuwa a good option. Initial cost 800,000/- na annual rate $100. Options za namna hii ndio zinatakiwa kuwatia adabu Dstv. Wadau ioweka Abu Dhabi sports tupeni progress report.


Sent from my iPhone
 
Msilalamike kama hamtaki kusikiliza maelezo ya regulator. TCRA (serikali) wanamikataba ya kurusha matangazo ya digitali kwa njia ya ardhini kwa makampuni matatu tu (Star media, Zuku tv na Ting) na mikataba hiyo inazitaka kampuni hizo kuonyesha bure channel 4 za habari (tbc1, itv, star tv na channel 10) na channel moja ya burudani (EATV). Kampuni hizi zinashirikiana na serikali kujenga miundombinu ya kurusha matangazo kwa njia ya ardhini (terrestrial). tofauti na kampuni hizo kampuni zilizobaki zinawajibika zeenyewe kutengeneza miundo mbinu yao ya kurushia matangazo kama satellite (DSTV) na terrestrial kwa continental na nyinginezo. serikali haiwapangii channell gani waonyeshe wenye kampuni wasizo na mkataba nazo. Fuatilieni maelezo msikalie kununua bandwidth na kuanza kulalamika mitandaoni
 
yap inasikitisha ktk suala la kutoweka channel za apa nchini ni tbc1 tu ndio wameweka lakini zingine zilizobaki hazipo cjui kama wanasababu ya msingi lakini huu ndio ungekua mda muafaka kwa msemaji wao akaweka kinagaubaga!!! kuhusu suala la bei cwez laumu kwani ni soko huria labda na ni kwa vile channel wanazoonyesha pia ni za bei kubwa kama supersports nk

inasikitisha kwa kweli kwani inabidi sasa tuwe na vingamuzi viwili ili uweze pata na channel za apa nyumban

Inavyoelekea inabidi uwe na ving'amuzi vitatu ili upate local tv zote. Nasikia king'amuzi kimoja hakina tv zote. Utakuta kimoja kinamis tv mbili au tatu.
 
Msilalamike kama hamtaki kusikiliza maelezo ya regulator. TCRA (serikali) wanamikataba ya kurusha matangazo ya digitali kwa njia ya ardhini kwa makampuni matatu tu (Star media, Zuku tv na Ting) na mikataba hiyo inazitaka kampuni hizo kuonyesha bure channel 4 za habari (tbc1, itv, star tv na channel 10) na channel moja ya burudani (EATV). Kampuni hizi zinashirikiana na serikali kujenga miundombinu ya kurusha matangazo kwa njia ya ardhini (terrestrial). tofauti na kampuni hizo kampuni zilizobaki zinawajibika zeenyewe kutengeneza miundo mbinu yao ya kurushia matangazo kama satellite (DSTV) na terrestrial kwa continental na nyinginezo. serikali haiwapangii channell gani waonyeshe wenye kampuni wasizo na mkataba nazo. Fuatilieni maelezo msikalie kununua bandwidth na kuanza kulalamika mitandaoni

Good point, dstv operates in a free market. Nobody forced you to buy dstv services! TCRA has licenced 3 operators for digital TV transmissions, Basic Transmitions Ltd, Starmedia T Ltd and Agape/Ting. Zuku is not one of them!
 
Ndugu wanabodi nashangazwa sana kwa msimamo wa kampuni ya Multichoice ambayo inatoa huduma ya kuonyesha chanel za TV za digitali nchini kwa kupitia DSTV.

habari za hapa nyumbani.

Nashangazwa sana na msimamo huu pamoja na ukimya wa serikali hasa kupitia TCRA na wizara husika ambao ndio wanapaswa kulinda maslahi ya wananchi wake.

Inavyoelekea baadhi ya viongozi wa serikali wana maslahi binafsi kwenye kampuni hii. Iweje kampuni zingine kama Star time na Zuku waweze kuingiza chanel zetu za kitaifa kama ITV na Star Tv kwenye bundle zao lakini DSTV wakatae? Hakuna mantiki yoyote ya kutoziingiza hizi chanel kwani ni chanel ambazo si za kulipia.

Hii ina maana watu tulio na DSTV baada ya tarehe 31 mwezi huu hatutaweza kuona chanel zetu labda kama utanunua king'amuzi kingine ambacho nacho uwe unakilipia. Na kama TV yako haiwezi kuchukua ving'amuzi viwili basi itakubidi ununue TV nyingine! Au uondoe deki nk

Pia ingawa hawa jamaa wanatoa huduma kibiashara lakini bei zao ni kubwa mno tofauti hata ukiwa huko kwao SA na hata huwezi ukalinganisha na watu wanavyotozwa huko ulaya au marekani ambako wao ndio wenye kipato kikubwa. Huduma za TV ni chanzo cha taarifa na elimu (information & education) kwa karne hii kama ilivyo simu za mkononi si anasa tena Bali ni huduma muhimu kwa wananchi.

Pamoja na kwamba hawa Multichoice wana miaka 15 wakitoa hii huduma ya DSTV na sasa hivi wana wateja wengi ambapo ingewezekana kupunguza bei kwa kiwango kikubwa lakini bei zao zimebaki kuwa za kiwizi. Sasa hivi wanatudanganya kwa kupunguza asilimia 10!

Pamoja na kwamba kujiunga na DSTV ni hiari kama ilivyo kujiunga na makampuni ya simu za mkononi hii haihalalishi wizi kwa mteja na kichwa ngumu kukataa kuingiza TV zetu za kitaifa za kitanzania na serikali yetu ikiwaangalia na kuendelea kutoza gharama ya wastani wa 120,000 kwa mwezi ambayo ni sawa na elfu 4 kwa siku![watu wa DSTV] yaani wewe umwaona DSTV tu/ mbons tanzania hii ina ving'amuzi vinti tu lakini hao watu tu ndo wamepewa hizo channel %? mimi natumia Easy Tv. nayo ndo hayo hayo ya DSTV
 
mkuu umwaona DSTV tu/ mbona wengi tu wako nje ya hizo channe?mimi natumia easy Tv ndo hayohayo yamenikuta. kuangalia channe l hizo mpaka nilipie 10000
 
aiseeee babaangu kwanza elewa itv and star tv si channel za kitaifa channel ya taifa ni tbc pekee ndio maana wapo dstv swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala gumu sana coz itv haina vipindi au uchambuzi wa vitu muhimu we angalia habari zake za kimataifa wanataja vichwa vya habari bila maelezo ya kina ,,na swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala la mmiliki kuongea na dstv na si serekali mkuu

karibu mkuu rombo upate mbege

Hivi Citizen kenya ni ya Serekali?
 
acha hizo bange ndg yangu, kama huna cha maana nyamaza tu,au jamaa amegusa maslahi ya baba yako?
 
Habari za kuaminika ni kwamba viongozi wengi wa nji hii wamefungiwa dstv bureeeeeeeeeee, hivyo itachukua muda hawa jamaa kuminywa wapunguze bei. Dawa yao ni kuendelea kuwaibia kwa kumtumia mchina. Mi naona channel zao kwa kutumia dongle za kichina aina ya hawk na 007, zilupotea wachina wamezirudisha hewani.
 
Hameni kwa nini mnakufa na tai shingoni mkijidai dstv ni hadhi wakati star times ya mchina bei yake poa kinoma.
 
Mkuu wazo lako la kwamba tatizo ni mamlaka zetu ni sahihi. Mimi nachukulia tatizo la mamlaka ni moja kati ya matatizo.

Hata hivyo Nadhani kwamba hata DSTV nao ni kikwazo hasa kwenye kupanga bei ambapo bei zao ni za kiwizi.
Pia ni tatizo kwa sababu wame take advantage hadi kufikia kupiga marufuku watu wengine kurusha Chanel wanazozirusha wao!

Bei zao, hasa malipo kwa mwezi yako juu sana. Watu wengine wanasema ni kwa sababu ni biashara huria Na mtu Ana hiari ya kulipia apate huduma Au aache. Lakini kwa mtazamo wangu Sasa hivi information ni kitu cha lazima kama ilivyo simu. Na pia Kama ni biashara huria Multichoice haina uhalali Wa kupewa monopoly (exclusive right) ya kurusha matangazo ya tv zinazoonekana katika Chanel zinazorushwa Na DSTV kama vile BBC, CNN, nk

Mbona alipokuja GTV walimuondoa kimtindo, si huria kama wanavyodai. Je, kuna supplier mwingine wa kuonesha barclays, la liga, Germany, seriel A
 
Mbona alipokuja GTV walimuondoa kimtindo, si huria kama wanavyodai. Je, kuna supplier mwingine wa kuonesha barclays, la liga, Germany, seriel A

Mimi navyoelewa mpaka sasa hivi biashara ya TV si huria kwa sababu ya mkataba kati ya serikali na Multichoice inayoipa kampuni hii exclusive right ya channel inazorusha Tanzania. Chini ya mkataba huo hakuna kampuni nyingine inaruhusiwa kurusha hizo channels
 
Back
Top Bottom