Serikali Imewekwa Mfukoni na Kampuni ya Multichoice!

Kinachoudhi zaidi ni kwamba, channel zote nzuri za makala na uchambuzi kama BBC knowledge,History Channel, Crime & investigation zimewekwekwa kwenye bundle ya primium yaan Tzs 120,000/
Sasa kwa wengi wanaolipia hiyo premium bundle ni kwa ajiri ya mipira na kwenye mabaa. Hawangalii kabisa hizo channel. Badala ya kuziweka hata kwenye family package, maana hii iko kielimu zaidi, wameiweka kwenye bundle ya juu ambako wengi hawangalii! Hata ukiwaomba hawakusikilizi. Hivi tv si ni kwa ajili ya entertainment na Elimu? Hawa jamaa wanaudhi sana
 
biashara nimaelewano na faida

Ni kweli Mkuu lakini kwa huduma muhimu Kama information Na education lazima kuwe na regulatory body. Ni moja ya malengo ya kuwepo TCRA.
Mfano mzuri ni nauli ya mabasi na dala dala. Kwani hawa si nao wanafanya biashara? kakini serikali inaweka bei elekezi ili wasiumize wananchi. Sasa DSTV waneachwa waendelee kuumiza na kuibia wananchi kwa maslahi ya nani?

Inatakiwa biashara huria si biashara holela na ya kiwizi. Wizi kwenye biashara ni kosa la jinai. Serikali haiwezi kujitoa kwenye hii lawama, inahusika moja kwa moja kulinda maslahi ya wananchi wake
 
Kuna dogo wangu yuko A-town wanapiga mzigo wa equivalent a dstv, yaani unapata channel zote kama dstv, mpira na kila uchafu wa michezo zaidi ya hata ujuavyo

Ameniambia unalipa laki tisa shs za kitanzania wanakufanyia installation kila kitu. Then kuna aacount kwenye internate ualipia roughly dolla 40 kwa MWAKA.

Hii naona imekaa njema maana ni bei cheap. Mwenyewe nipo dstv kwa ajili ya ugonjwa wangu Arsenal lakini gharama ni za juu mno.
 
Kinachoudhi zaidi ni kwamba, channel zote nzuri za makala na uchambuzi kama BBC knowledge,History Channel, Crime & investigation zimewekwekwa kwenye bundle ya primium yaan Tzs 120,000/
Sasa kwa wengi wanaolipia hiyo premium bundle ni kwa ajiri ya mipira na kwenye mabaa. Hawangalii kabisa hizo channel. Badala ya kuziweka hata kwenye family package, maana hii iko kielimu zaidi, wameiweka kwenye bundle ya juu ambako wengi hawangalii! Hata ukiwaomba hawakusikilizi. Hivi tv si ni kwa ajili ya entertainment na Elimu? Hawa jamaa wanaudhi sana
Mkuu Nyumbu ukiwa na ile decoder yao PVR(HD)ndio kabisaa umeumia 149000/=hawa jamaa hawajapata mpinzani wa kweli,muonekano wa ZUKU ni mzuri wakipata uwezo wa kuonyesha mpira live bei inaweza kupanda kidogo lakini si kufika bei za hawa wanyama DSTV.Ipo siku watajuta huwezi tamba milele.
 
aiseeee babaangu kwanza elewa itv and star tv si channel za kitaifa channel ya taifa ni tbc pekee ndio maana wapo dstv swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala gumu sana coz itv haina vipindi au uchambuzi wa vitu muhimu we angalia habari zake za kimataifa wanataja vichwa vya habari bila maelezo ya kina ,,na swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala la mmiliki kuongea na dstv na si serekali mkuu

karibu mkuu rombo upate mbege

hata hiyo TBC hainekani hadi ulipie.tv pekee inayoonekana dstv free ni Tv ya china CCTV peke yake
 
Kinachoudhi zaidi ni kwamba, channel zote nzuri za makala na uchambuzi kama BBC knowledge,History Channel, Crime & investigation zimewekwekwa kwenye bundle ya primium yaan Tzs 120,000/
Sasa kwa wengi wanaolipia hiyo premium bundle ni kwa ajiri ya mipira na kwenye mabaa. Hawangalii kabisa hizo channel. Badala ya kuziweka hata kwenye family package, maana hii iko kielimu zaidi, wameiweka kwenye bundle ya juu ambako wengi hawangalii! Hata ukiwaomba hawakusikilizi. Hivi tv si ni kwa ajili ya entertainment na Elimu? Hawa jamaa wanaudhi sana

Mkuu umefafanua vizuri sana, just imagine kupata hata BBC tu au Chanel nzuri za elimu au hata katuni nzuri za watoto lazima ulipie premium!
Wakati umefika lazima hawa watu wabadilike kama sio wao kubadilika basi Sisi itabidi tubadilike na kuwapiga chini
 
aiseeee babaangu kwanza elewa itv and star tv si channel za kitaifa channel ya taifa ni tbc pekee ndio maana wapo dstv swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala gumu sana coz itv haina vipindi au uchambuzi wa vitu muhimu we angalia habari zake za kimataifa wanataja vichwa vya habari bila maelezo ya kina ,,na swala la itv kuwa kwenye dstv ni swala la mmiliki kuongea na dstv na si serekali mkuu

karibu mkuu rombo upate mbege

Sanaaa sanaaa ila bongo channel zote quality mbov dat why naona dstv wanaona bongo sio mpango
 
Ni kweli unachosema Mkuu lakini chetu ni chetu tusikidharau sana, tuwape moyo kwa mategemeo kwamba baadae wanaweza kuboresha.
Sasa ukiangalia hii tv ya serikali TBC ndio utaona vichekesho. Wanaonyesha hadi reception za harusi tena full![/QUOT

aiseeee mkuu 2mekosa vipindi vya kuonesha mpaka 2naonesha harusi za kifisadi
 
Hamjasema yale makubwa bado. Hawa jamaa wanauza ving'amuzi kwa bei chafu bunge limeondoa ushuru ili kuwanufaisha hawa manake badala ya kushusha bei wao wamepandisha hadi Tshs 50,000/= halafu wanakupa king'amuzi ambacho wamekiprogram kufanya kazi mwaka mmoja tu baada ya hapo hakileti picha tv inakwambia no signal. Ukiwapelekea wanakwambia wanataka elfu arobaini kwa kuwa kime overwarrant maneno ambayo ht sijui maana yake nini. Wakikosa mda wa kukifungua wanakupigia simu utoe Tshs 50,000/= wakupe kingine manake cha kwako body ime weak. Yani utapeli mtupu kila mwaka ununue king'amuzi na kwa bei wanayotaka wao hata bunge lipige chafya vipi yani ni ufisadi kwa kwenda mbele. Ila za mwizi ni arobaini manake zinatengenezwa mordem za kufunga kwenye tv ambazo utatumia internet na kuangalia tv kwenye tv yako kwa siku Ths 100/= au tshs 30,000/= kwa mwezi.
 
Hamjasema yale makubwa bado. Hawa jamaa wanauza ving'amuzi kwa bei chafu bunge limeondoa ushuru ili kuwanufaisha hawa manake badala ya kushusha bei wao wamepandisha hadi Tshs 50,000/= halafu wanakupa king'amuzi ambacho wamekiprogram kufanya kazi mwaka mmoja tu baada ya hapo hakileti picha tv inakwambia no signal. Ukiwapelekea wanakwambia wanataka elfu arobaini kwa kuwa kime overwarrant maneno ambayo ht sijui maana yake nini. Wakikosa mda wa kukifungua wanakupigia simu utoe Tshs 50,000/= wakupe kingine manake cha kwako body ime weak. Yani utapeli mtupu kila mwaka ununue king'amuzi na kwa bei wanayotaka wao hata bunge lipige chafya vipi yani ni ufisadi kwa kwenda mbele. Ila za mwizi ni arobaini manake zinatengenezwa mordem za kufunga kwenye tv ambazo utatumia internet na kuangalia tv kwenye tv yako kwa siku Ths 100/= au tshs 3,000/= kwa mwezi.
 
Mbona kwenye Zuku na Star times channel za home hapa zinaonekana vibaya yaani hata mtu wakimzoom haonekani hata sura.Why?
 
Mbona kwenye Zuku na Star times channel za home hapa zinaonekana vibaya yaani hata mtu wakimzoom haonekani hata sura.Why?

Hilo nalo ni lingine! Nawaza tu hapa,natumia antena ya 'V' sijui itakuaje?
 
Hamjasema yale makubwa
bado. Hawa jamaa wanauza ving'amuzi kwa bei chafu bunge limeondoa ushuru
ili kuwanufaisha hawa manake badala ya kushusha bei wao wamepandisha
hadi Tshs 50,000/= halafu wanakupa king'amuzi ambacho wamekiprogram
kufanya kazi mwaka mmoja tu baada ya hapo hakileti picha tv inakwambia
no signal. Ukiwapelekea wanakwambia wanataka elfu arobaini kwa kuwa kime
overwarrant maneno ambayo ht sijui maana yake nini. Wakikosa mda wa
kukifungua wanakupigia simu utoe Tshs 50,000/= wakupe kingine manake cha
kwako body ime weak. Yani utapeli mtupu kila mwaka ununue king'amuzi na
kwa bei wanayotaka wao hata bunge lipige chafya vipi yani ni ufisadi
kwa kwenda mbele. Ila za mwizi ni arobaini manake zinatengenezwa mordem
za kufunga kwenye tv ambazo utatumia internet na kuangalia tv kwenye tv
yako kwa siku Ths 100/= au tshs 3,000/= kwa mwezi.

Umesahau kuambiwa your smart card is fault or has been inserted upside down!
 
Mbona channels za kenya dstv zimejaa kibao k24 ktv ntv kbc citizen hata uganda kuna wbs na ubc sisi ndo tumelala doro 2. Yaani imesabababisha ninunue kin'gamuzi kingine aisee. Kwa hili dstv wananikwaza sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
...Akina Innocent Mungy & Company wanafanya nini Kuhusu Hili?? Mbona kila mara wako kwenye Vyombo vya Habari wakifafanua kuhusu hili na lile lakini Hili Hawaligusii?? Ina maana hawalifahamu???
 
Mbona channels za kenya dstv zimejaa kibao k24 ktv ntv kbc citizen hata uganda kuna wbs na ubc sisi ndo tumelala doro 2. Yaani imesabababisha ninunue kin'gamuzi kingine aisee. Kwa hili dstv wananikwaza sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


Swali Zuri. Jibu Lake ni Kuwa Tanzania Hakuna Viongozi bali WAPENDELEA MATUMBO YAO TU!! :A S angry::A S angry:
 
Tena basi, Dar ndo wanalipa bei kubwa kuliko miji yote Africa na Asia, tuna hela sana eeeh!
 
Tena basi, Dar ndo wanalipa bei kubwa kuliko miji yote Africa na Asia, tuna hela sana eeeh!

Imefika wakati tufanye maamuzi magumu ya kuukataa huu Wizi. Inaelekea hawa jamaa wanadhani Sisi limbukeni na hatujui haki zetu! Na hii ni kwa sababu hatuna umoja.
Tunahitaji umoja wetu kwa hili.
Tunaponzwa Na tabia ya kusema kuibiwa ni hiari!
 
Back
Top Bottom