Tetesi: Serikali imeondoa Posho za Safari Mpya kimyakimya?

Ili ugali uliwe lazima kiasi cha unga na maji kiwe na uwianoo wa Aina yake.
 
Yani wanajitekenya na kucheka wenyewee...!! Sawa na kutongoza demu kwa kutumia gari ya mwana ipo siku utaumbuka tu... Nchi imebaki uchiii
 
Ni Bora kwamba wameliona hili mapema. Ifikie sehemu hela za Serikali zisitumike hovyohovyo. Tuwe wazalendo jamani. Hivi kweli 250k, 220k watu wanaenda safari siku 10 , mamilioni. Wakati miundombinu yetu bado ikiwa duni kiasi hiki.
Mimi pia ni mnufaika wa nyongeza tena kwa asilimia 120 lakini moyoni nilikuwa nasononeka sana kuwaumiza watanzia wenzetu kwa kujipendelea kiasi hicho.

Kama Kuna hela nyingi kiasi hicho za kujilipa 250k kwa siku, kwa nini wasizipeleke kwenye Miradi ya Maendeleo kuliko kutumia hivyo kila siku Ughaibuni kukopa!! Sio fair kabisa!

Tusihangaikie kujipendelea, tuhangaikie Taifa kwa ujumla.
IMG-20220723-WA0038.jpg
 
Ni Bora kwamba wameliona hili mapema. Ifikie sehemu hela za Serikali zisitumike hovyohovyo. Tuwe wazalendo jamani. Hivi kweli 250k, 220k watu wanaenda safari siku 10 , mamilioni. Wakati miundombinu yetu bado ikiwa duni kiasi hiki.
Mimi pia ni mnufaika wa nyongeza tena kwa asilimia 120 lakini moyoni nilikuwa nasononeka sana kuwaumiza watanzia wenzetu kwa kujipendelea kiasi hicho.

Kama Kuna hela nyingi kiasi hicho za kujilipa 250k kwa siku, kwa nini wasizipeleke kwenye Miradi ya Maendeleo kuliko kutumia hivyo kila siku Ughaibuni kukopa!! Sio fair kabisa!

Tusihangaikie kujipendelea, tuhangaikie Taifa kwa ujumla. View attachment 2301473
Acha ujinga, serikali ilipandisha viwango vya Posho na kusema kwamba bajeti zibakie zile zile..

Sasa TanRoads wao Kwa bajeti yao ya utawala na usimamizi wameona haiwezi kukidhi hizo rate mpya ndio maana wamesitisha tena hiyo ni memo ya ndani..

Taasisi zingine ambazo zinaona bajeti zao zinaweza kuhimili watalipa kama kawaida..

Mfano taasisi nayofanyia Kazi mpaka sasa inatumika rates mpya unless kama itaamliwa vinginevyo.
 
Waziri wa Fedha bora kabisa alitepigwa vita ya udini kuwa eti amejenga Msikiti Wizarani!!

Nalikumbuka gazeti la Motomoto na Uhuru ndo yaliongoza kwa propaganda hii
Hicho kichwa cha Tabora Boys, Yale na Princeton hakiwezi kuwa sawa na kichwa cha kwenye mti wa mdigrii aka jalalani.
 
Hii nchi soon tutakua kama Sri-lanka ukweli hii nchi imeshawashinda tayari, nchi haina pesa kabisa tunategemea mikopo, pesa zanapigwa na wajanja wachache. Tutashuhudia mengi sana ni suala la muda.
Sri Lanka wenyewe walifika point ile kwasababu ya mikopo iliyopitiliza. Walikopa sana hadi ikafika point ikawa ni ngumu sasa kukopa tena hadi ikabidi wakope mikopo ya kulipa mikopo.

Mizaha inapozidi serikalini mambo lazima yasimame na maendeleo hayata patikana.

Sasa ndipo tunapoelekea
 
Barua ya Tanroad wakikataa Posho za Safari hii hapa.

Mambo yanazidi kugeuka? Yamekuwa Makumu?


Serikali haijafuta posho za safari. Wala TANROADS hawajakataa posho za safari.

Waraka kutoka kwa katibu mkuu uliweka wazi kua kama kuna taasisi I nadhani viwango vipya haviwezi kutekelezwa kwa sababu bajeti ya mwaka mpya fedha 2022-2023 imeshapitishwa, basi watumie viwango vya zamani.

Hivyo basi, kuna taasisi ambazo hali yao ya kifedha inawaruhusu kuadopt rates mpya za per diem na extra duty allowance na kuna taasisi ambazo haziwezi (kama TANROADS kwa mujibu wa hii barua.

Kwa hiyo posho za safari zipo pale pale kwa kutegemea na bajeti kwa taasisi husika.
 
Serikali haijafuta posho za safari. Wala TANROADS hawajakataa posho za safari.

Waraka kutoka kwa katibu mkuu uliweka wazi kua kama kuna taasisi I nadhani viwango vipya haviwezi kutekelezwa kwa sababu bajeti ya mwaka mpya fedha 2022-2023 imeshapitishwa, basi watumie viwango vya zamani.

Hivyo basi, kuna taasisi ambazo hali yao ya kifedha inawaruhusu kuadopt rates mpya za per diem na extra duty allowance na kuna taasisi ambazo haziwezi (kama TANROADS kwa mujibu wa hii barua.

Kwa hiyo posho za safari zipo pale pale kwa kutegemea na bajeti kwa taasisi husika.
Hizi double standard sijawi ona. Watawachanganya wadau wa maendeleo.
 
Wewe kama ni mtumishi unastahili kuwajibishwa nyaraka kama hizi ni sirikali unazisambaza mitandaoni mkichukuliwa hatua mnaona serikali inawaonea.
 
Back
Top Bottom