Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Mimi nataka nifahamu hawa wanaoandika kuhusu wachina. Lini kashawahi kununua bodhaa kutoka mkononi mwa wachina lini?
 
Wewe nyoko utaenda akhera kabla ya muda wako, pumbaf kabisa, hujui hata sheria za Investment zinasemaje kuhusu foreign investor, minimum of $ 100k per person, sio kikundi wachange alafu wanampa mtu mmoja ajisajili..!!

Huna maisha wala akili ww nyoko, pumbaf kabisa
Jay one muelekeze bila matusi atakuelewa vizuri tu mkuu wangu..
 
Wafanya biashara wa k/koo walikua wanasifika kwa wizi asee sio winga wala wenye mitaji mikubwa ukiingia store wanangalia sura na lafudh wakikubal wakuj unapigikaa kinyama ata kam sio wakuja unapewa bei za kishenzi sana yaan bishaa ya 10k wanakupiga kwa 20&25k mpaka walip ingia wachina bidhaa ya 10k wanauza 10k bila kona kona watu wanatafuta unafuu mzee. Wangejielewa wafanya biashara wa kizawa mapema watu wasinge enda kwa wachina ila wizi ndo umewakimbiza so sio lawama za mchina wala serikali ni wafanya biashara wenyew
 
Hata nyie mnaishi kwao kama kwenu.

Kama hawalipi Kodi Hilo ni tatizo la mifumo yenu sio wao. Kwao kila mtu analipa Kodi sawa mgeni na mwenyeji.

Nyie wamatumbi tafuteni exposure dunia imekua kijiji kama wachina wapo kihalali nchini Wana haki za kufanya chochote ilimradi hawavunji sheria. Nyie mnaenda kwao kila siku mnataka wao wasije kwenye? Hizo kazi mnazokataa wachina wasifanye wabongo na waafrica kwa ujumla wanafanya huko nje miaka yote. Biashara ni ushindani na dunia ni Kijiji acheni kutafuta mteremko.
Umeongea point ya msingi sana. Halafu ni ujinga tu umewajaa na ubinafsi kushindwa kuelewa kuwa biashara ni kuongeza uchumi na Pato la taifa. Leo hii watanzania wanaofanya kazi china ukiambiwa utashangaa lakini hapa wamekuja kidogo watu wanaanza majungu .
 
Winga haumii chochote mkuu .wanaoumia ni wafanyabiashara wenye mitaji mkubwa

Maana mchina kakuuzia vitu toka kiwandani kwake ili uje uuze nchini.na yeye anakuja nchini tena anakuja kuuza kwa bei ya chini tena Hadi mikoani kwa wateja wadogo.wewe utauza wapi?
Kwahiyo hautaki Wananchi tuuziwe bidhaa na mchina kwa Bei ya chini? Wanyonyaji wakubwa nyie. Na wewe shusha bei kama unaona haupati faida unayoitaka nenda kalime biashara waachie wahindi na wachina.
 
Mimi nataka nifahamu hawa wanaoandika kuhusu wachina. Lini kashawahi kununua bodhaa kutoka mkononi mwa wachina lini?
Bora uwaulize mkuu .maana mtu wa mwisho wala hapati unafuu wowote..eti wao wanaona winga atateseka.winga ateseke kwa lipi sasa wakati anapata wigo kubwa la kupata faida.maana yeye Hana Kodi yoyote
 
Bora uwaulize mkuu .maana mtu wa mwisho wala hapati unafuu wowote..eti wao wanaona winga atateseka.winga ateseke kwa lipi sasa wakati anapata wigo kubwa la kupata faida.maana yeye Hana Kodi yoyote
Kuna trend inaendelea alafu haina kitu, sisi watanzania walalamishi sana. Ndio maana maisha yetu hayana furaha tulio wengi.
Hivi wachina wanakua exposed na hatuwaoni. Research ipi imewahi fanywa kuonyesha wachina wakiuza bidhaa kkoo.
 
Sikatai bali wachina wanachukua kila kitu
Mimi sina shida na hao wachina wasio kuwa kwenye mifumo ya serikali kama ppp au mikataba ya kiserikali...wachina wabaya ni wale wenye kushikana mikono na viongozi wa serikali....hao wa Kariakoo watawasaidieni nyinyi pia baadae kujua njia ya kufanya biashara kama wao.
 
😆 😂 mnaotoa vibali ni nyie, Nida mnatoa nyie, simcard nyie, sasa mnalalamika nini?
Eti serikali iangalie hili
Hivi unaweza kuingia nchi tena kwenye uso wa jiji ukafanya biashara bila kibali?

Badala mjilalamikie wenyewe kwa njaa zenu, mnawatwisha mzigo Wageni

Mjitafakari ipo siku mtauza jiji lote au nchi kabisa kwa njaa zenu
 
Back
Top Bottom