Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Taarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwawahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kuwa habari njema kwa watu wasiopenda service charges.
Singa singa atakosa hela yake oohooo