Hii Habari NI ya kweli , juZi nimenunua Umeme sikuamini nlichokiona yaani service charge 0 zeroooo . Nkajua wamekosea. Source risit yangu ya tarehe 11 January ,2016Taarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwawahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kuwa habari njema kwa watu wasiopenda service charges.
Ila waraka wa kuondoa service chargé hata kama tarif bado zitabaki kawaida umefika?Hiyo sio kweli hakuna Waraka unaotaka kuhamisha wateja tariff,
Labda uko njiani,tariff 0 ni mahususi Kwa watumiaji wadogo ambao matumizi Yao hayazidi unit 75!
Andika barua ipeleke kwa meneja, kama matumizi yako hayafiki hizo unit 75 watakuhamishaMkuu, kuingia kwenye tariff 0 hatua gani zinafuatwa?
Weka pichaHii Habari NI ya kweli , juZi nimenunua Umeme sikuamini nlichokiona yaani service charge 0 zeroooo . Nkajua wamekosea. Source risit yangu ya tarehe 11 January ,2016
Hongera kwa Ku-quoteUmeambiwa service charge zinaenda huko,kama hujui huna haja ya kujitia aibu
Itakuwa kweli maana tar 31/12/2015 nilinunua umeme wa 55,000/- wakata VAT pekee bila service charge nikapatiwa units 152
Wangeondoa vilevile na yale makato ya EWURA na REA.Taarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwa wahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kuwa habari njema kwa watu wasiopenda service charges.