The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
nakushanga Sana F. kwann umewaumiza Hawa watuNipo hapa hazina nabonyeza kitufe muda si mrefu watumishi, Ahsante kwa uvumilivu wenu
Dude limeshashuka nusu saa iliyopita. Wahi ATM bosDah! mpaka sasa bila bila, kazini watanisamehe tu jamani.
Ngoja nikae jirani na
kanaishia kuliwa na tozo za benki🤣Halafu kimshahara chenyewe kinakuja kutoka unakuta Kiko vilevile Hakina ongezeko
Implication yake Fedha unayopewa ni Nyingi kuliko matumizi yako! Na la hatari kuliko YOTE A/C ya Mshahara at any time t,inaweza kufungwa na Mwajili Kwa Sababu mbalimbali! SIINGII KWENYE HUO MTEGOHakikisha mshahara wako unaukuta uliopita kwenye account. Usiishi kwa madeni
Jana mleta mada alitupiga sound kwamba ndoo imetema, kumbe holaa....Dah! mpaka sasa bila bila, kazini watanisamehe tu jamani.
Ngoja nikae jirani na
Tunaomba mtoe huduma kwa uadilifu na uzalendo mkubwaDah! mpaka sasa bila bila, kazini watanisamehe tu jamani.
Ngoja nikae jirani na
Kama mimi, yaani mshahara wa Mei umeukuta mshahara wa Aprili kwenye akaunti. Nilibakiza sh 183.70Hakikisha mshahara wako unaukuta uliopita kwenye account. Usiishi kwa madeni
inalipwa tarehe hizo kwa kila mwezi ili kutoa nafasi kwa Wizara ya Fedha kuanza kuandaa malipo kwa ajili ya matumizi ya Serikali katika mwezi unaofatia.hope nitakuwa nimekujibu vizuri.Kwanza utaratibu wa kulipa tarehe 23 ukome ,pesa iingizwe tarehe 30
Uzalendo na njaa ndugu, wewe ungeweza!Tunaomba mtoe huduma kwa uadilifu na uzalendo mkubwa
Mwajiri anafungaje akaunti yangu ya mashahara. AKAUNTI NI MALI YANGU NA SIO YA MWAJIRINa la hatari kuliko YOTE A/C ya Mshahara at any time t,inaweza kufungwa na Mwajili Kwa Sababu mbalimbali! SIINGII KWENYE HUO MTEGO
Magufuli ameturudisha nyuma sana Watumishi kiuchumi na ki career.Magu kwa miaka mitano na nusu hakuwahi kuchelewesha mishahara ya wafanyakazi hata siku moja. Baniani mbaya kiatu chake dawa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwamba umetishaKama mimi, yaani mshahara wa Mei umeukuta mshahara wa Aprili kwenye akaunti. Nilibakiza sh 183.70
Hakuna kitu Mkuu alitulisha chai,Jana mleta mada alitupiga sound kwamba ndoo imetema, kumbe holaa....