Serikali imeanza kuhakiki mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Gazeti la Mwananchi toleo la leo limekuja na habari kuwa serikali ya Rais Samia imeanza kupitia upya na kuhakiki mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uliotiliwa shaka na hayati Magufuli kuwa una mashariti magumu yanayolenga kuuwa taifa kiuchumi na ni kichaa tu anayeweza kusaini na kukubaliana na mashariti hayo.

Ikumbukwe waziri aliyetumbuliwa bwana Geofrey Mwambe alikanusha kuwa hakuna mkataba wowote wa bandari ya Bagamoyo na kwamba Magufuli alipotoshwa.

My take: Serikali inahakiki mkataba upi tena wakati haujawahi kuwepo?

View attachment 2084598
Kuna jambo unataka kupotosha kwa makusudi au kutofahamu kulingana na huyo mwandishi alivyoandika hiyo heading ilimradi hatujasoma maudhui yanasemaje.

Waziri aliposema haijawahi kuwepo mkataba ni kweli kwa kuwa ili isemekane Kuna mkataba basi lazima uwe na zile sifa za kuwa mkataba ikiwemo kusainiwa na pande zote .

Ukiangalia hayo ndipo unajiuliza kwani kilikuwa na mkataba kwenye Bagamoyo port project? Jibu ni HAPANA sababu hakukuwepo utiaji wa saini yale makubaliano na hayakufikia tamati ndipo yalikatishwa kuendelea kutokana na sababu ambazo hata Waziri alishindwa kuelewa maana mambo yaliyokuja kusemwa hayakuwepo hata kwenye rasimu (draft) .

Sasa kwa sababu ilitokea sintofahamu na tayari muda umepita ni utaratibu wa kawaida kabisa kuupitia upya huo mkataba kabla ya kusaini au kuendelea na majadiliano ili kubaini kama kuna lolote lipo kinyume na yaliyotarajiwa .

Hata ingekuwa wewe ukiipewa huo mkataba utasaini bila hata kufanya mapitio? (Vetting).

Mikataba yote ya serikali inayozidi cost ya 600 million hufanyiwa vetting kwa Attorney General na wakisharidhika ndipo hurudisha either mrekebishe au wakiona upo sawa basi wanashauri muendelee na taratibu nyingine.

So to me naona ni Jambo la kawaida na hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au speculation zenye kuleta taharuki zisizo na msingi.
 
Kuna jambo unataka kupotosha kwa makusudi au kutofahamu kulingana na huyo mwandishi alivyoandika hiyo heading ilimradi hatujasoma maudhui yanasemaje.

Waziri aliposema haijawahi kuwepo mkataba ni kweli kwa kuwa ili isemekane Kuna mkataba basi lazima uwe na zile sofa za kuwa mkataba ikiwemp kusainiwa na pande zote .

Ukiangalia hayo ndipo inasema kwani kilikuwa na mkataba? Jibu ni HAPANA sababu hakukuwepo utiaji wa saini Yale makubaliano na hayakufikia tamati ndipo yalikatishwa kuendelea kutokana na sababu ambazo hata Waziri alishindwa kuelewa maana mambo yaliyokuja kusemwa hayakuwepo hata kwenye rasimu (draft) .

Sasa kwa sababu kilitokea sintofahamu na tayari muda umepita ni utaratibu wa kawaida kuupitia upya huo mkataba kabla ya kusaini au kuendelea na majadiliano ili kubaini kama kuna lolote lipo kinyume na yaliyotarajiwa .

Hata ingekuwa wewe ulipewa huo mkataba utasaini bila hata kufanya mapitio? (Vetting).

Mikataba yote hufanyiwa vetting kwa Attorney General na wakisharidhika ndipo hurudisha either mrekebishe au wakiona upo sawa basi wanashauri muendelee na taratibu nyingine.

So to me naona ni Jambo la kawaida na hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au speculation zenye kuleta taharuki zisizo na msingi.
Nyinyi wasomi mnazinguka mwisho wa siku ndo mnasaini vitu vya ajabu! Hivi tangia lini sehemu inawekwa jiwe la msingi alafu kusiwe na mkataba uliosainiwa? Polepole alimuomya Waziri Mwambe kipindi kile cha Shule ya Uongozi, alimweleza kuwa usipotoshe watu, haiwezekani mkurugenzi wa ile kampuni ya China atoke China aje mpaka Bagamoyo, atoke yule mwarabu Dubai aje mmpaka Bagamoyo alafu atoke Kikwete Magogoni aende mpaka Bagamoyo ajashike lile chepe wachanganye ule udongo pale alafu kusiwe ata na Mkataba? Ni uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambo unataka kupotosha kwa makusudi au kutofahamu kulingana na huyo mwandishi alivyoandika hiyo heading ilimradi hatujasoma maudhui yanasemaje.

Waziri aliposema haijawahi kuwepo mkataba ni kweli kwa kuwa ili isemekane Kuna mkataba basi lazima uwe na zile sifa za kuwa mkataba ikiwemo kusainiwa na pande zote .

Ukiangalia hayo ndipo unajiuliza kwani kilikuwa na mkataba kwenye Bagamoyo port project? Jibu ni HAPANA sababu hakukuwepo utiaji wa saini yale makubaliano na hayakufikia tamati ndipo yalikatishwa kuendelea kutokana na sababu ambazo hata Waziri alishindwa kuelewa maana mambo yaliyokuja kusemwa hayakuwepo hata kwenye rasimu (draft) .

Sasa kwa sababu ilitokea sintofahamu na tayari muda umepita ni utaratibu wa kawaida kabisa kuupitia upya huo mkataba kabla ya kusaini au kuendelea na majadiliano ili kubaini kama kuna lolote lipo kinyume na yaliyotarajiwa .

Hata ingekuwa wewe ukiipewa huo mkataba utasaini bila hata kufanya mapitio? (Vetting).

Mikataba yote ya serikali inayozidi cost ya 600 million hufanyiwa vetting kwa Attorney General na wakisharidhika ndipo hurudisha either mrekebishe au wakiona upo sawa basi wanashauri muendelee na taratibu nyingine.

So to me naona ni Jambo la kawaida na hakuna haja ya kuwa na wasiwasi au speculation zenye kuleta taharuki zisizo na msingi.
mara unasema waziri alikuwa sahihi kusema hakukuwa na mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa....hapo hapo unasema wanafanya jambo zuri kupitia huo mkataba...sasa huoni unatuchanganya,
hicho wanachotaka kukipitia ni mkataba au siyo mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa?
 
Tuna viongozi ambao hawaoni shida kudanganya umma ili mradi siku ipite bila kuangalia athari ya maneno yake keshokutwa.
Nasi watanzania ni wepesi wakusahau na hata tukikumbuka hatuna madhara au jeuri ya kuwawajibisha viongozi waongo. Wenzetu wakigundua kiongozi kadanganya nikumshinikiza aombe msamaha au awajibike kwa kujiuzuru kwasababu ya kulidanganya taifa.
 
mara unasema waziri alikuwa sahihi kusema hakukuwa na mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa....hapo hapo unasema wanafanya jambo zuri kupitia huo mkataba...sasa huoni unatuchanganya,
hicho wanachotaka kukipitia ni mkataba au siyo mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa?
Hajitambui huyo
 
Taratiibu wanatimiza malengo.
Waziri akiwa kwenye chombo rasmi cha habari cha serikali alisema hakuna mkataba uliowahi kuingiwa kuhusu bandari ya Bagamoyo. Sasa wanachunguza mkataba gani tena kama hakukuwa na mkataba? Unachunguza kitu ambacho hakijawahi kuexist?
 
Nyinyi wasomi mnazinguka mwisho wa siku ndo mnasaini vitu vya ajabu! Hivi tangia lini sehemu inawekwa jiwe la msingi alafu kusiwe na mkataba uliosainiwa? Polepole alimuomya Waziri Mwambe kipindi kile cha Shule ya Uongozi, alimweleza kuwa usipotoshe watu, haiwezekani mkurugenzi wa ile kampuni ya China atoke China aje mpaka Bagamoyo, atoke yule mwarabu Dubai aje mmpaka Bagamoyo alafu atoke Kikwete Magogoni aende mpaka Bagamoyo ajashike lile chepe wachanganye ule udongo pale alafu kusiwe ata na Mkataba? Ni uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu kwani kuweka jiwe la msingi maana yake ndio mkataba? Ina maana panapowekwa jiwe la msingi hata kama mkataba haupo maana yake ndio umeshakuwa mkataba?

Uwekaji jiwe la msingi haimaanishi ndio mkataba. Jiwe la msingi ni utaratibu tu ambao nauona mostly kwenye miradi ya Tanzania na huwa kasherehe fulani ikiwa ndio utamaduni wa kuwashirikisha wananchi na mwekezaji au aliyetoa msaada fulani some kwamba Sasa implementation ipo on the track Ila haimaanishi chochote zaidi.

Mbona Kikwete aliweka jiwe la msingi pale TAZARA FLYOVER na bado Magufuli akaja kuweka jiwe la msingi na kupaita Mfugale???

Kuna kitu huwa wengi mnachanganya sana Kuna MEMORANDUM OF UNDERSTANDING na Kuna AGREEMENT.

Kimsingi yote ni makubaliano, lakini mmoja huwa unatangulia mwingine sababu MOU haina sanctity (haya mengine utagoogle maana ni shule inayojitegemea) wakati Agreement yenyewe huwa na sanctity to contract. MOU huwa ni makubaliano ya awali ambayo yanaonyesha nia tu wakati contract inakuwa sasa ni agreed terms ambazo zinakuwa na sanctity.

Sasa labda nikufafanulie kidogo, pale walipoona kuna nia kati ya pande zote ya kujenga Bandari ndio huwa inaandaliwa MOU hii haina ishu maana hampelekani hata Mahakamani kwa kupitia MOU in short huwa tunaita a mere GENTLEMAN AGREEMENT. It is good as a handshake tu.

Sasa Mkataba ndio hufuata, so kusaini MOU haimaanishi ndio mmesaini kuanza mradi hapo mnakuwa mmekubaliana kufanya ushirikiano fulani sasa mnaweka hii NADHIRI kwenye makaratasi ili hata wanapokuja wengine wataanza na hiyo NADHIRI.

Sasa ndipo hufuata stage ya negotiation mnakaa mezani kujadili nani atoe nini, gharama, muundo wa mradi, nk.

Ni vema kuwa mnabishana kwa kuelewa sio ushindani na ndio maana wataalamu hukaa kimya maana unakuta mtu anaelezea jambo ingali hajawahi hata kujua utaratibu wa kiserikali ulivyo strict na huwezi kutemper maana unajulikana mapema mno sema Kuna figisu za wanasiasa Wala sio watendaji.

Unakuta mradi kama huu unagubikwa na maneno mengi na figisu simply fulani hajala hela na huo ndio ukweli.

I leave this matter to you. Ukiona naongea unaelewa ni vema.
 
mara unasema waziri alikuwa sahihi kusema hakukuwa na mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa....hapo hapo unasema wanafanya jambo zuri kupitia huo mkataba...sasa huoni unatuchanganya,
hicho wanachotaka kukipitia ni mkataba au siyo mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa?
Unatafuta umaarufu kupitia JF ambao hata unatimia ID fake. Soma utaelewa Ila unatafuta umaarufu bila sababu, nimeandika kwa utulivu kuelewesha lakini maadamu unaonekana mjuaji basi utapata followers ambao hawakusaidii kitu.

Wacha tufanye kazi
 
mara unasema waziri alikuwa sahihi kusema hakukuwa na mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa....hapo hapo unasema wanafanya jambo zuri kupitia huo mkataba...sasa huoni unatuchanganya,
hicho wanachotaka kukipitia ni mkataba au siyo mkataba kwa kuwa ulikuwa haujasainiwa?
Hakuna mkataba Ila Waziri huwezi kumuelewa sababu umechukua kipande Cha Waziri Mwambe aliposema hakukuwa na mkataba that's it, na unaunga na hii statement kwamba wanapitia mkataba.

Hapo lazima utajichanganya tu au utachanganyikiwa na ndio maana nasema utachanganya either unajua kwa makusudi tu au hujui.

Sasa kama hujui nimefafanua hapo juu kwenye post no. 55 vizuri kabisa nitashangaa kama utabaki bado hujui
 
Nyinyi wasomi mnazinguka mwisho wa siku ndo mnasaini vitu vya ajabu! Hivi tangia lini sehemu inawekwa jiwe la msingi alafu kusiwe na mkataba uliosainiwa? Polepole alimuomya Waziri Mwambe kipindi kile cha Shule ya Uongozi, alimweleza kuwa usipotoshe watu, haiwezekani mkurugenzi wa ile kampuni ya China atoke China aje mpaka Bagamoyo, atoke yule mwarabu Dubai aje mmpaka Bagamoyo alafu atoke Kikwete Magogoni aende mpaka Bagamoyo ajashike lile chepe wachanganye ule udongo pale alafu kusiwe ata na Mkataba? Ni uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mjuaji sana, eti haiwezekani yani unabisha tu. Labda tuanze kujuana vizuri zaidi.

Ni vema ukijitahidi kuwa msikilizaji au msomajo itakusaidia maarifa Ila ujuaji mwingi utakucost uendelee kudhalilisha hiyo fake ID yako.

Nyie ndio mnafanya watanzania tunaonekana wajinga sana, wewe unaona kuchanganya udongo ndio umesaini mkataba? Hayo mambo ya akina kinjekitile aisee.

Kama kuchanganya udongo ndio Mkataba basi kalete mkataba wa Muungano ambapo Nyerere na Karume walichanganya udongo.

Just keep your heads up. Isiwe unabisha tu soma post yangu ya 55 utafaidika kidogo kama utaacha ashki majinuni Ila kama nabishana na tabula rasa hatutaelewana sababu unataka umaarufu wa kimtandao wenye fake ID.
 
Unatafuta umaarufu kupitia JF ambao hata unatimia ID fake. Soma utaelewa Ila unatafuta umaarufu bila sababu, nimeandika kwa utulivu kuelewesha lakini maadamu unaonekana mjuaji basi utapata followers ambao hawakusaidii kitu.

Wacha tufanye kazi
Pitia maandiko yako. Wewe mwenyewe unajichanganya mno. Tunajua mnakula kadir ya urefu wa kamba zenu ujuaji wa nini tena jaman?
 
Hakuna mkataba Ila Waziri huwezi kumuelewa sababu umechukua kipande Cha Waziri Mwambe aliposema hakukuwa na mkataba that's it, na unaunga na hii statement kwamba wanapitia mkataba.

Hapo lazima utajichanganya tu au utachanganyikiwa na ndio maana nasema utachanganya either unajua kwa makusudi tu au hujui.

Sasa kama hujui nimefafanua hapo juu kwenye post no. 55 vizuri kabisa nitashangaa kama utabaki bado hujui
Acha ujinga
 
Pitia maandiko yako. Wewe mwenyewe unajichanganya mno. Tunajua mnakula kadir ya urefu wa kamba zenu ujuaji wa nini tena jaman?
Umesoma au umepaniki tu? Halafu sio kila anayekuja tofauti na unachokijua anakuwa mlaji au CCM.

Jifunze kukubali kukosolewa na ni vema kutokuwa mjuaji
 
Back
Top Bottom