Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Habari wananchi wenzangu!
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali mito, maziwa na bahari kukimesha tatizo la upatikanaji wa maji kwa wananchi.
Dar es salaam sehemu zenye miundombinu ya maji safi na salama ni chache tena hizo sehemu chache sasa hawapati kabisa.
Huku Chanika hakuna Bomba la Dawasco wala Dawasa.
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali asilia kama madini ya aina mbalimbali ya nchi hii.
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali ya gesi asilia iliyojaa katika ardhi ya Tanzania.
Mtungi wa kg 6 Dar es Salaam unajazwa kwa sh. 24, 000.
Serikali ikiri kuwa imeshindwa kutumia mali asili za nchi hii.
Wawapishe Watanzania wengine waongeze hii nchi
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali mito, maziwa na bahari kukimesha tatizo la upatikanaji wa maji kwa wananchi.
Dar es salaam sehemu zenye miundombinu ya maji safi na salama ni chache tena hizo sehemu chache sasa hawapati kabisa.
Huku Chanika hakuna Bomba la Dawasco wala Dawasa.
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali asilia kama madini ya aina mbalimbali ya nchi hii.
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali ya gesi asilia iliyojaa katika ardhi ya Tanzania.
Mtungi wa kg 6 Dar es Salaam unajazwa kwa sh. 24, 000.
Serikali ikiri kuwa imeshindwa kutumia mali asili za nchi hii.
Wawapishe Watanzania wengine waongeze hii nchi