HOJA Serikali Iingilie Kati Mishahara Shule Binafsi

HOJA Serikali Iingilie Kati Mishahara Shule Binafsi

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Tatizo walimu wa hapa bongo wanachukuliwa powa sana yani kweli mtu ana diploma halafu unamlipa 150000tzs? leo hii mtu mtaani hana hata elimu lakini unakuta anaingiza 270000 mpaka 400000 kwa mwezi, Kama mimi naona serikali iangalie kwa makini sana kuhusu hawa watumishi kuongezewa mishahara.
 
Ukitaka kujua hata nini shida ya maandamano ni vitu kama hivi!, maisha yasasahivi yalivyo ghali hata hiyo laki tatu bado haitoshi..

System yasasahivi kuna namna unahitaji ujitoe akili...
 
Tatizo walimu wa hapa bongo wanachukuliwa powa sana yani kweli mtu ana diploma halafu unamlipa 150000tzs? leo hii mtu mtaani hana hata elimu lakini unakuta anaingiza 270000 mpaka 400000 kwa mwezi, Kama mimi naona serikali iangalie kwa makini sana kuhusu hawa watumishi kuongezewa mishahara.
Acha wapambane na hali zao maana ndo huwa wanaiweka iyo serikali madarakani
 
CCM na walimu ni dugu moja. Oya mipigaji ya Lumumba wateteeni watu wenu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom